aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
1. Mume wa Zari, Ivan hajafa yupo hai amejificha sababu anadaiwa
2. Nyumba ya South Africa sio ya Diamond
3. Zari ana mtoto mkubwa ambaye anadanganya ni mdogo wake
4. Lowassa ana ugonjwa wa kujiharishia na kupoteza kumbukumbu
5. Nillan sio mtoto wa diamond
Tena siku hizi ameanzisha mchezo anajifanya mdau namba 1 mara 2 kumbe ni yeye anajitungia kama zamani alivyokuwa anaandika msg toka akaunt yake moja kwenda nyingine anascreenshot huku akijifanya kaandikiwa na wadau kumbe ni yeye mwenyew huku akijifanya ku hide id
Na nyie ongezeeni uongo wa huyu bi mdada
2. Nyumba ya South Africa sio ya Diamond
3. Zari ana mtoto mkubwa ambaye anadanganya ni mdogo wake
4. Lowassa ana ugonjwa wa kujiharishia na kupoteza kumbukumbu
5. Nillan sio mtoto wa diamond
Tena siku hizi ameanzisha mchezo anajifanya mdau namba 1 mara 2 kumbe ni yeye anajitungia kama zamani alivyokuwa anaandika msg toka akaunt yake moja kwenda nyingine anascreenshot huku akijifanya kaandikiwa na wadau kumbe ni yeye mwenyew huku akijifanya ku hide id
Na nyie ongezeeni uongo wa huyu bi mdada