Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Ok mkuu, kwa budget ya 50k to 70k ni kazi gani za kiume naweza pata zisizo na choking smell
Kuna moja ni tulivu sana na inakaa mno,

Bitter peach [emoji527]

Hii tafuta ya kupima,
Original ni bei kidogo.

Nikushauri,
Kuna perfumes nyingi ni clone za kupima ila ni nzuri tu na bei ni ya kishakaji,
Nenda kwenye maduka ya kupima
Chukua sample zako tano mpaka sita kwenye kikaratasi,nenda nazo nyumbani, baada ya siku tatu utajua ni ipi imekupendeza..
Hivo ndivo mi hufanya.
 
Kuna moja ni tulivu sana na inakaa mno,

Bitter peach [emoji527]

Hii tafuta ya kupima,
Original ni bei kidogo.

Nikushauri,
Kuna perfumes nyingi ni clone za kupima ila ni nzuri tu na bei ni ya kishakaji,
Nenda kwenye maduka ya kupima
Chukua sample zako tano mpaka sita kwenye kikaratasi,nenda nazo nyumbani, baada ya siku tatu utajua ni ipi imekupendeza..
Hivo ndivo mi hufanya.
Ni kweli kabisa coz kuna jiran yangu alikua anatumia aqua d gio profondo original nikaipenda harufu nikaenda kununua hizi za kupima nkaona harufu ni mulemule as original, long lasting, attention grabbing [emoji95]
 
Hasara roho tu, jitosee mkuu.

Siku hizi nimeshtuka kuna vikopo vya bei chee sana na vinafanya vyema kuliko hizo cologne za mapesa mengi...

Kuna moja nimesahau jina,haina bei

Brand ni lonkoon,
Chupa ya mviringo rangi ya orange [emoji521].
Nilitumia kichupa kimoja tu.

Hii ilikua nzuri sana,niliisaka mno sikufanikiwa.

Hornet
Hebu niulizie kama inapatikana huko.
Naipenda mno.

Hii nimeikosa



Aventos
Wanaringa ni 25,000 naona hamna sokoni

Huyu mmoja anayo anaisukuma kwa hiyo bei

Though kwangu ni reasonable nikiangalia na maajabu yake
 
Kuna unyunyu unaitwa Mousuf Kigunia, original perfume achana na sprays ulizia huo ukikosa utapoulizia nicheki nkupe namba ya jamaa anaeuza maunyunyu napochukuaga...mimi natumia Mousuf kwa sasa mkuu iko vizur cha msingi ni kujipulizia sehem muhim za mwili ndo inakua inatoa harufu nzur asubuh hadi usiku.
Hamna kitu takataka humo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kuna moja ni tulivu sana na inakaa mno,

Bitter peach [emoji527]

Hii tafuta ya kupima,
Original ni bei kidogo.

Nikushauri,
Kuna perfumes nyingi ni clone za kupima ila ni nzuri tu na bei ni ya kishakaji,
Nenda kwenye maduka ya kupima
Chukua sample zako tano mpaka sita kwenye kikaratasi,nenda nazo nyumbani, baada ya siku tatu utajua ni ipi imekupendeza..
Hivo ndivo mi hufanya.
Maduka gani yana pafyum za kupima
 
Ni kweli kabisa coz kuna jiran yangu alikua anatumia aqua d gio profondo original nikaipenda harufu nikaenda kununua hizi za kupima nkaona harufu ni mulemule as original, long lasting, attention grabbing [emoji95]
Shida ni hawa watu wanaanza fresh,wakipata wateja wengi wanapunguza ubora.
 
Back
Top Bottom