korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,054
- 1,269
black opium ukichanganya hta na black orchid by Tom Ford ni noma sanaHio cool water ukichanganya na black opium..
Compliments zake,utanishukuru baadae.
Kuna moja ni tulivu sana na inakaa mno,Ok mkuu, kwa budget ya 50k to 70k ni kazi gani za kiume naweza pata zisizo na choking smell
Nitajaribu siku za mbeleni.black opium ukichanganya hta na black orchid by Tom Ford ni noma sana
Ni kweli kabisa coz kuna jiran yangu alikua anatumia aqua d gio profondo original nikaipenda harufu nikaenda kununua hizi za kupima nkaona harufu ni mulemule as original, long lasting, attention grabbing [emoji95]Kuna moja ni tulivu sana na inakaa mno,
Bitter peach [emoji527]
Hii tafuta ya kupima,
Original ni bei kidogo.
Nikushauri,
Kuna perfumes nyingi ni clone za kupima ila ni nzuri tu na bei ni ya kishakaji,
Nenda kwenye maduka ya kupima
Chukua sample zako tano mpaka sita kwenye kikaratasi,nenda nazo nyumbani, baada ya siku tatu utajua ni ipi imekupendeza..
Hivo ndivo mi hufanya.
Hasara roho tu, jitosee mkuu.
Siku hizi nimeshtuka kuna vikopo vya bei chee sana na vinafanya vyema kuliko hizo cologne za mapesa mengi...
Kuna moja nimesahau jina,haina bei
Brand ni lonkoon,
Chupa ya mviringo rangi ya orange [emoji521].
Nilitumia kichupa kimoja tu.
Hii ilikua nzuri sana,niliisaka mno sikufanikiwa.
Hornet
Hebu niulizie kama inapatikana huko.
Naipenda mno.
Ulienda na jina au nini ?Ni kweli kabisa coz kuna jiran yangu alikua anatumia aqua d gio profondo original nikaipenda harufu nikaenda kununua hizi za kupima nkaona harufu ni mulemule as original, long lasting, attention grabbing [emoji95]
Yes nlikua na jina kabisa la perfum nayoitaka
Kabisa, mana hiyo nlionunua aisee ni kama ile ile original inayouzwa laki 3, harufu safi na inakaa kwa nguo 7hoursPerfume za kupima Zina maajabu hasa uipate Kwa maduka yanayojielewa.
Hamna kitu takataka humoKuna unyunyu unaitwa Mousuf Kigunia, original perfume achana na sprays ulizia huo ukikosa utapoulizia nicheki nkupe namba ya jamaa anaeuza maunyunyu napochukuaga...mimi natumia Mousuf kwa sasa mkuu iko vizur cha msingi ni kujipulizia sehem muhim za mwili ndo inakua inatoa harufu nzur asubuh hadi usiku.
Ukienda Duka gani mkuu nipe location ! Au kama Una mawasiliano nipeYes nlikua na jina kabisa la perfum nayoitaka
0766433142Ukienda Duka gani mkuu nipe location ! Au kama Una mawasiliano nipe
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Maduka gani yana pafyum za kupimaKuna moja ni tulivu sana na inakaa mno,
Bitter peach [emoji527]
Hii tafuta ya kupima,
Original ni bei kidogo.
Nikushauri,
Kuna perfumes nyingi ni clone za kupima ila ni nzuri tu na bei ni ya kishakaji,
Nenda kwenye maduka ya kupima
Chukua sample zako tano mpaka sita kwenye kikaratasi,nenda nazo nyumbani, baada ya siku tatu utajua ni ipi imekupendeza..
Hivo ndivo mi hufanya.
Kapi?Kuna kadude nimekachukua mlimani City jana.
Nataka nikaongeze kabla hawajazizoa zote.
Very sexy[emoji847]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
hyo baccarat bahat mbaya bado cjawah ipata harufu yake japo kwa uduchuBaccarat rouge Maison from Paris.....creed ,spice bomb ...ysl .....ee bhna we
Shida ni hawa watu wanaanza fresh,wakipata wateja wengi wanapunguza ubora.Ni kweli kabisa coz kuna jiran yangu alikua anatumia aqua d gio profondo original nikaipenda harufu nikaenda kununua hizi za kupima nkaona harufu ni mulemule as original, long lasting, attention grabbing [emoji95]