Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

38d2a09ba15644f7271480e5ecf0f560.jpg
Jina ake
 
Aventos imekua popular, few compliments.

Mnaopenda kunukia,kizuri kula na wenzio.

Vunja kibubu,go for lacoste white utanishukuru baadae, akuna cha aventus by creed sijui mdudu gani...
Unataka kunukia,mnunue huyu mnyama lacoste original sio clone(sijui kama ipo)ama ya kupima..
Popote utakapo ingia ni wewe tu,ofisini ni wewe tu,kwenye daladala ni wewe tu hakuna mwingine,kabatini,room kila sehem ni wewe tu,hata ukifua wakikatiza kwenye kamba ni harufu yako tu ya kupendeza...everywhere it's only you.
Compliments kama zote.hakika hutajutia.

For now my best choices ni lacoste white na I'm the king.
Vunja kibubu mzee mchukue huyu mnyama wa kishua sana.
Naweka kalamu chini.
Adios
 
Aventos imekua popular, few compliments.

Mnaopenda kunukia,kizuri kula na wenzio.

Vunja kibubu,go for lacoste white utanishukuru baadae, akuna cha aventus by creed sijui mdudu gani...
Unataka kunukia,mnunue huyu mnyama lacoste original sio clone(sijui kama ipo)ama ya kupima..
Popote utakapo ingia ni wewe tu,ofisini ni wewe tu,kwenye daladala ni wewe tu hakuna mwingine,kabatini,room kila sehem ni wewe tu,hata ukifua wakikatiza kwenye kamba ni harufu yako tu ya kupendeza...everywhere it's only you.
Compliments kama zote.hakika hutajutia.

For now my best choices ni lacoste white na I'm the king.
Vunja kibubu mzee mchukue huyu mnyama wa kishua sana.
Naweka kalamu chini.
Adios
Maelezo marefu hujataja estimated price
 
Ramza lattafa niliona humu humu kwenye thread nikanunua ipo vizuri
Dove niliona humu humu nikanunua sasa afadhali ngozi inang'aa tatizo wanaume tunaona mambo ya urembo ni mambo ya kike ndio shida.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Hiyo dove inapatikana wapi, nipe chimbo na bei yake
 
Aventos imekua popular, few compliments.

Mnaopenda kunukia,kizuri kula na wenzio.

Vunja kibubu,go for lacoste white utanishukuru baadae, akuna cha aventus by creed sijui mdudu gani...
Unataka kunukia,mnunue huyu mnyama lacoste original sio clone(sijui kama ipo)ama ya kupima..
Popote utakapo ingia ni wewe tu,ofisini ni wewe tu,kwenye daladala ni wewe tu hakuna mwingine,kabatini,room kila sehem ni wewe tu,hata ukifua wakikatiza kwenye kamba ni harufu yako tu ya kupendeza...everywhere it's only you.
Compliments kama zote.hakika hutajutia.

For now my best choices ni lacoste white na I'm the king.
Vunja kibubu mzee mchukue huyu mnyama wa kishua sana.
Naweka kalamu chini.
Adios
Tamu hii. .used to wear this afu naenda gym.
 
Ramza lattafa niliona humu humu kwenye thread nikanunua ipo vizuri
Dove niliona humu humu nikanunua sasa afadhali ngozi inang'aa tatizo wanaume tunaona mambo ya urembo ni mambo ya kike ndio shida.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Wanyama hawa apa[emoji123][emoji123][emoji123]
Anventos kumbe kwenye box ipo na kaspray kadogo na watu hamsemi

All in all, watu wa mbeya mjini kuna mjamaa apo soweto ana perfume zote zinazotajwaga humu na bei yake n rafiki
View attachment 2497471
IMG_20230127_190815.jpg
 
Back
Top Bottom