Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Udi Pluss kikwapa aisee unaweza ua mtuUdi tu unatosha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udi Pluss kikwapa aisee unaweza ua mtuUdi tu unatosha...
Hii Bei gani mkuuHivi sasa nimetulia humu...
Nikimaliza nitaitafuta hiyo Aventus mnayoisema nione ikoje. Umeshainunua?
View attachment 2482542
22,000 Kariakoo MsimbaziHii Bei gani mkuu
Jina ake
Aventos imekua popular, few compliments.Let's go... 22,000/=
View attachment 2492435
Maelezo marefu hujataja estimated priceAventos imekua popular, few compliments.
Mnaopenda kunukia,kizuri kula na wenzio.
Vunja kibubu,go for lacoste white utanishukuru baadae, akuna cha aventus by creed sijui mdudu gani...
Unataka kunukia,mnunue huyu mnyama lacoste original sio clone(sijui kama ipo)ama ya kupima..
Popote utakapo ingia ni wewe tu,ofisini ni wewe tu,kwenye daladala ni wewe tu hakuna mwingine,kabatini,room kila sehem ni wewe tu,hata ukifua wakikatiza kwenye kamba ni harufu yako tu ya kupendeza...everywhere it's only you.
Compliments kama zote.hakika hutajutia.
For now my best choices ni lacoste white na I'm the king.
Vunja kibubu mzee mchukue huyu mnyama wa kishua sana.
Naweka kalamu chini.
Adios
60$Maelezo marefu hujataja estimated price
Hiyo dove inapatikana wapi, nipe chimbo na bei yakeRamza lattafa niliona humu humu kwenye thread nikanunua ipo vizuri
Dove niliona humu humu nikanunua sasa afadhali ngozi inang'aa tatizo wanaume tunaona mambo ya urembo ni mambo ya kike ndio shida.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
60 × 2300=kama laki 1 na 40 fulani hivi
Kariakoo pale karibu na mataa kuna maduka ya vipodozi ile njia kama unaenda mnazi mmoja.Hiyo dove inapatikana wapi, nipe chimbo na bei yake
ShukranKariakoo pale karibu na mataa kuna maduka ya vipodozi ile njia kama unaenda mnazi mmoja.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Nikajua kama elfu 25000. Sisi tunataka vitu vizuri kwa bei ndogo
Tamu hii. .used to wear this afu naenda gym.Aventos imekua popular, few compliments.
Mnaopenda kunukia,kizuri kula na wenzio.
Vunja kibubu,go for lacoste white utanishukuru baadae, akuna cha aventus by creed sijui mdudu gani...
Unataka kunukia,mnunue huyu mnyama lacoste original sio clone(sijui kama ipo)ama ya kupima..
Popote utakapo ingia ni wewe tu,ofisini ni wewe tu,kwenye daladala ni wewe tu hakuna mwingine,kabatini,room kila sehem ni wewe tu,hata ukifua wakikatiza kwenye kamba ni harufu yako tu ya kupendeza...everywhere it's only you.
Compliments kama zote.hakika hutajutia.
For now my best choices ni lacoste white na I'm the king.
Vunja kibubu mzee mchukue huyu mnyama wa kishua sana.
Naweka kalamu chini.
Adios
Wanyama hawa apa[emoji123][emoji123][emoji123]Ramza lattafa niliona humu humu kwenye thread nikanunua ipo vizuri
Dove niliona humu humu nikanunua sasa afadhali ngozi inang'aa tatizo wanaume tunaona mambo ya urembo ni mambo ya kike ndio shida.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Aventos, plus Dove sabuni na lotionWanyama hawa apa[emoji123][emoji123][emoji123]
Anventos kumbe kwenye box ipo na kaspray kadogo na watu hamsemi
All in all, watu wa mbeya mjini kuna mjamaa apo soweto ana perfume zote zinazotajwaga humu na bei yake n rafiki
View attachment 2497471View attachment 2497472
Hatari,kazi kwakoAventos, plus Dove sabuni na lotionView attachment 2497473