cecili beno
Member
- Oct 5, 2012
- 10
- 5
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nitumie harufu yake ili nimnunulie mama watoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nitumie harufu yake ili nimnunulie mama watoto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa Kwel ni kiboko ya maruhanKulusumu....haswa nkitaka kupandisha maruhani
Laki ngap nimnunulie bae waniibie vizur [emoji12] [emoji12] [emoji12]Botega veneta ndio habari ya mjini,itumie hutojuta haisee,mwaka Wa 18 huu naitumia,asilimia 80% ya wapenz wangu niliwapatia sababu ya perfume2,nakumbuka adi lecture Wa kike alishaniita ofisini nikamuuliza kulikoni akaniambia harufu ya perfume yangu inampa ashki za kufanya mapnz mpka nikaona aibu kumtizama ,hiwezi amini hivi kitu ofisini sasa nisipokuwepo utajua tu,wafanyakaz wenzangu Wa kike wananipenda usipime kisa perfume2 dahaa botega inawatega kweli!! Ijaribuni ndugu zangu japo cjawai kuwaambia marafiki zangu japo wengi walipenda niwaambie jina LA perfume!! Basi Leo nimemwaga mchele sasa,ila kua makini ukishaanza kuitumia kama unadada zako wataitumia iishee maanake wataipenda sana! Weka mbali na watoto Wa kike !? Naweka chini kalamuView attachment 361635
Wakuu naomba mnieleweshe, inasemekana baadhi ya pafyum zina uhusiano na Freemason, ni kweli? Naomba jibu
Hata mi sijui, nahitaji ufafanuziFreemason ni nini?
Hata mi sijui, nahitaji ufafanuzi
Yakawaida sanaUDV ni nomaaa sana ni code sasa naitumia mwaka wa 9
you are welcomethanks!
nimekupata mkuu...mimi huwa na trend na identity moja,mpaka baada ya muda ndio na switch nyingine...kiasi kwamba ukisikia flani unajua nipo arround!Mkuu hio avatar yangu huioni hio picha hata useme mimi jinsia yangu iwe ya kike?[emoji15] kuwa na manukato mengi ni kubadilisha harufu tofauti sio unakuwa unanukia hivyo hivyo kila siku. Ikiwa huwezi kuvaa nguo hio hio kila siku basi na mimi siwezi kuweka cologne hio hio kila siku.
Issey Miyake.Isaye Miyake bonge 1 la perfume yan
Mzee uko poa sana,iyo mizingo hapo hesabu yake ni kivists kinatoka bandari![]()
Hizi ni deodorants tu.
![]()
Hizi ni body spray(body splash)
![]()
Hizi cologne
![]()
Na hizi ni lotion na hio face scrub.