Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Wanachakachua sana siku hizi mkuu,Ulinirecomment ile bitter peach kwa hao jamaa Asee ni kali sana na masaa matatu mengi kitu hola. Nimeishia kuigawa tu maana hakuna value for money
View attachment 2500777
Next time tafuta hii
View attachment 2500777
Next time tafuta hii
Hi ni nzuri?
Yaah nzuri
Kwangu Zipo
Pengine sina uhakika
Naona wengi wanauza coconut,Tango na ile Shearbutter
Nimeambiwa ni 3000! Je ni sahih au feki
Ni sahihi
Nauza 2500 zikija kwa gari
Kwa ndege ndo zinafika 3000
kaka nimekubali mixer ya cool water na black opiumWanachakachua sana siku hizi mkuu,
Ila bitter peach ni cologne ya heshima sana ndio mana original yake inauzwa bei ghali.
Ahlam Al KhaleeNaomba kujua perfume nzuri ya kiarabu itapendeza for men
Black opium ni catalyst,Naomba kujua perfume nzuri ya kiarabu itapendeza for men
[emoji123]kaka nimekubali mixer ya cool water na black opium
taste yke ni nzuri mno na imetulia sanaaaaaaa
I'm the king changanya na black opium..Unachanganya na nini
na invictusUnachanganya na nini
Black opium ni ya kike au wanaumeBlack opium ni catalyst,
Haijawahi niangusha...
Ukichanganya utakuja nishukuru baadae.View attachment 2555770