Bei gani hii, pande za huko kwenu?I love Aqua di Gio!
Wewe na Nyani Ngabu..........mmefanya thread inukie sana.......
Ngoja nami niongezee unyunyu.........
Hizi ni deodorants tu.
Hizi ni body spray(body splash)
Hizi cologne
Na hizi ni lotion na hio face scrub.
Asanteni,tozi,nyangi ngabu n kui..naona Io bottega venetta imenikuna.sa mniambie ni shs ngapi nimchukulie shemeji yenu....afu mi ni mapenzi wa red door ya Elizabeth Arden....Ila ndugu ubahili kanikumba as iv mnnisidije?
nimeshakushtukia unataka ukamnunulie boyfriend wako A.K.A rafikiwakiumeNgoja nisome perfume za kiume hapa
He hee...nimeshakushtukia unataka ukamnunulie boyfriend wako A.K.A rafikiwakiume
Mhhh huwaga una matatizo ya kusweat sana kikwapa au vp,mbona nyingi hivo??
Watu wanaotumia neno "huwaga" hawawezi kuelewa hayo mambo.Mhhh huwaga una matatizo ya kusweat sana kikwapa au vp,mbona nyingi hivo??
I can't lie, kweli sijaelewa why all those..anywaysWatu wanaotumia neno "huwaga" hawawezi kuelewa hayo mambo.
Hawajajua hata Kiswahili bado, watajua collection ya cologne ni kitu gani?
Cologne haitibu kikwapa. Na mimi nipo kwenye full kiyoyozi karibu muda wote.
Nyingi ni relative tu. Unapoona nyingi mwingine ataona huu msingi tu.Hiyo ni collection. Inakua organically.
Hilo bafu la juu tu ushaona nyingi. Nikiweka na za bafu la chini je?
Unaelewa maana ya collection?
Acha vijembe katika vitu usivyoelewa.
Nishakwambia kama unatumia maneno kama "huwaga" huwezi kuelewa.I can't lie, kweli sijaelewa why all those..anyways
bado hujapata tu?He hee...
Nimeghairi...bado hujapata tu?