Hako kauogonjwa kakianza ni kagumu sana kukaacha... Luckily nimeweza kutulia kwa sasa ingawa kuna kama mbili tatu za mwisho nataka ninunue then nitulie kabsaaah...[emoji28]Mi kwasasa sielewi nimepata ugonjwa gani.na spend pesa nyingi kwenye unyunyu bro
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] baada ya hizo mbili tatu za mwisho.utaongeza tena mbili tatu za mwisho kabisa.huu ugonjwa sidhan kama unaponaHako kauogonjwa kakianza ni kagumu sana kukaacha... Luckily nimeweza kutulia kwa sasa ingawa kuna kama mbili tatu za mwisho nataka ninunue then nitulie kabsaaah...[emoji28]
Nitakuletea Elizabeth Aden moja...nipatie hata moja hapo mbona unazo nyingi hivyo [emoji3] [emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] baada ya hizo mbili tatu za mwisho.utaongeza tena mbili tatu za mwisho kabisa.huu ugonjwa sidhan kama unapona
Kuna mtu namuagiza huwa ananiletea. 212 nilinunua JD Pharmacy 150,000/- ndio nikawaamini.Unachukulia duka gani?online sijaribu chief ni hatar kwa pesa yangu
haaaaa naisubiria....Nitakuletea Elizabeth Aden moja...
Au nikuletee Givenchy Organza? Ukijipulizia hio nitakufuata nyuma nyuma kama nyuki na maua.haaaaa naisubiria....
Us baby.... Us baby...
Shng ngap huo mzgo??botegaBotega veneta ndio habari ya mjini,itumie hutojuta haisee,mwaka Wa 18 huu naitumia,asilimia 80% ya wapenz wangu niliwapatia sababu ya perfume2,nakumbuka adi lecture Wa kike alishaniita ofisini nikamuuliza kulikoni akaniambia harufu ya perfume yangu inampa ashki za kufanya mapnz mpka nikaona aibu kumtizama ,hiwezi amini hivi kitu ofisini sasa nisipokuwepo utajua tu,wafanyakaz wenzangu Wa kike wananipenda usipime kisa perfume2 dahaa botega inawatega kweli!! Ijaribuni ndugu zangu japo cjawai kuwaambia marafiki zangu japo wengi walipenda niwaambie jina LA perfume!! Basi Leo nimemwaga mchele sasa,ila kua makini ukishaanza kuitumia kama unadada zako wataitumia iishee maanake wataipenda sana! Weka mbali na watoto Wa kike !? Naweka chini kalamuView attachment 361635
mkuu ukipata jamaa wa dar anaepajua mahal zinakopatikana hizo kitu nishtue plzBro hii kitu imenipa heshima kwa siku chache.najuta nlizoziagiza sijapendezwa nazo kama hii.kama hii ni clone tu sijui hiyo aventus itakuaje
mie yoyote tu ... haya majia mengine ndio nayasikia leo..Au nikuletee Givenchy Organza? Ukijipulizia hio nitakufuata nyuma nyuma kama nyuki na maua.
Hawa majaa naskia wanasifiwa sana.Kuna mtu namuagiza huwa ananiletea. 212 nilinunua JD Pharmacy 150,000/- ndio nikawaamini.
Wanajitahidi. Wana standard fulani kwenye product zao very high.Hawa majaa naskia wanasifiwa sana.
Soon nitakwenda nadhan hapo ndio nitakua naponea uteja wangu
Naskia jd pharmacy wanazo ila sijafika bado.kama uko dar jaribu kwenda hapo.mkuu ukipata jamaa wa dar anaepajua mahal zinakopatikana hizo kitu nishtue plz
Ndo ka yangu kitu OG.KakaJambazi hii je?
Unazitumiaje izo zote kwa wakati mmoja @prondo ?My collection right now...
212 na issey miyake special occassion. Zilizobaki everyday. Ukitumia perfume moja muda mrefu unapoteza sense ya smell yake hapo ndio nabadili.Unazitumiaje izo zote kwa wakati mmoja @prondo ?
Mkuu nimeenda pale JD pharmacy hawana hii kitu,Mkuu niko mbal na dar.usiache kucheki bei ya hii kitu chupa nzima club de nuit.nione uwiano wa bei