Bei zao zikojeAisee niliwahi kutembelea maonesho ya biashara ya wa-Syria pale Diamond jubilee,asikwambie mtu bhana wale jamaa wanauza perfumes za ukweli tena kuna nyingine wanakuchanganyia pale pale.Ni zile perfumes ambazo hazijachakachuliwa,ni OG kabisa.Nilijuta kwenda bila pesa,lkn popote nitakapowasikia nitawafuata maana perfume zao nahisi ukipulizia mpaka mwakani unanukia tu.
Pesa ni ya kawaida.niliwasiliana nao.wamenibadilishia wakanipa clone ya 212 sema kwa mimi sijawai tumia 212.so sina uhakika kama zinafanana 212 OG.lakini nimeielewa kwa kiasi flaniThanks kwa mrejesho mkuu. I hope haijakutoka pesa mingi
Miyaki[/QU
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Nina aleji na manukato mara ya mwisho nilitumia perfume(Boss)nikiwa form 4
Umechelewa mjini
siwez nikanuka kikwapaEndelea kunuka kikwapa
Rasasi kwa sasa imeingiliwa na matapel.wanachakachua mpaka basiKnowledge
Romance
Hapo ndio napofikia kwa sasa kiuchuni kwani bei za hizo perfume nazimudu na huwa nazipenda sana
Vipi performance yake ikoje papaa?Chibu perfume is the best, try this!
Check na jd pharmacy(kama sijakosea) hapo mliman city naskia skia wako vizuriNi duka gani hapa dar wanauza haya manukato original..?
Vipi hapa kariakoo zote ni fake au?