Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ila mimi huwa kananikereketa,kananichosha .Adorable huwa kazurii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mimi huwa kananikereketa,kananichosha .Adorable huwa kazurii
Kariakoo karibu na soko kuu,ukitokea mtaa wa polisi msimbazi,duka la mwisho kwenye kona kushoto kwako kabla ya kuingia sokoni...Kwa anayejua perfumes za kupimwa zinapouzwa kariakoo,naomba anielekeze.
Asante mkuu kwa maelekezo[emoji120][emoji120][emoji120]Kariakoo karibu na soko kuu,ukitokea mtaa wa polisi msimbazi,duka la mwisho kwenye kona kushoto kwako kabla ya kuingia sokoni...
Angalia hapo hiyo VANITAS ni https://www.perfume.com/versace/vanitas/women-perfumeMimi natumia AXE but kuna perfume moja nilipewaga zawad na mtu wa ujeruman inaitwa VANITAS, ni balaa, yan had ofisin walijua kama nimespray something new n waliipenda, pia hata ukiifua nguo wakati wa kunyosha kile kiharufu chaja, unfortunately sijawahi kubahatika kuipata madukani hapa dar licha ya kuuitafuta sana na huyo wa ughaibun kasharudi bongo, please kama kuna mtu anaifahamu au anajua inapopatikana please let me know, I am ready to buy at any price less than 150k.
Hapo best ni hiyo CHANEL
Ila mimi huwa kananikereketa,kananichosha .
Nkamu nihadithie kidogo hizo memory za adorable[emoji38][emoji13]mimi huwa naipenda nna memory nyingi sana nazikumbuka kupitia hiyo spray so huwa siikosi
Nkamu nihadithie kidogo hizo memory za adorable[emoji38][emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nkamu acha tu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwee nkamu,ninong'oneze kanandi mwee[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwee fye fya soni[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fikuhobosya[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nimewaza tu,itakuwa mapenzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
perfume ya kifara manina..bora fighting temptationBlue for men mzigo naukubali hauna harufu Kali ,harufu yake kuipata labda umsogelee mpakaji ,unapatikana kwa 20k za kibongo
View attachment 1952705
Nkamu nimelipata lile duka la perfume za kupima,naomba unitajie perfumes 3 nzuriNkamu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nkamu nimelipata lile duka la perfume za kupima,naomba unitajie perfumes 3 nzuri
[emoji4]
Asante[emoji7][emoji847][emoji120][emoji120]Poison Girl - Dior
J’adore - Dior
La vie est belle
angalia pia na black opium ila mimi sikuipenda niliona nimepoteza hela yangu.
Asante[emoji7][emoji847][emoji120][emoji120]
Hii black opium ni mbaya hata mimi sikuipenda ila imenipa compliments nyingi, imebidi niendelee kuitumia tu.Poison Girl - Dior
J’adore - Dior
La vie est belle
angalia pia na black opium ila mimi sikuipenda niliona nimepoteza hela yangu.