Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Wakuu tujaribu kuelekezana maduka yanayo uza org coz town kuna maduka mengi yanayo uza utuli lakin mengi yauza utuli unao kaa lisaa limoja

Hivo nivema ukitoa kitu elekeza wapi inapatikana
 
Wakuu tujaribu kuelekezana maduka yanayo uza org coz town kuna maduka mengi yanayo uza utuli lakin mengi yauza utuli unao kaa lisaa limoja

Hivo nivema ukitoa kitu elekeza wapi inapatikana
hakika!
 
Botega veneta ndio habari ya mjini,itumie hutojuta haisee,mwaka Wa 18 huu naitumia,asilimia 80% ya wapenz wangu niliwapatia sababu ya perfume2,nakumbuka adi lecture Wa kike alishaniita ofisini nikamuuliza kulikoni akaniambia harufu ya perfume yangu inampa ashki za kufanya mapnz mpka nikaona aibu kumtizama ,hiwezi amini hivi kitu ofisini sasa nisipokuwepo utajua tu,wafanyakaz wenzangu Wa kike wananipenda usipime kisa perfume2 dahaa botega inawatega kweli!! Ijaribuni ndugu zangu japo cjawai kuwaambia marafiki zangu japo wengi walipenda niwaambie jina LA perfume!! Basi Leo nimemwaga mchele sasa,ila kua makini ukishaanza kuitumia kama unadada zako wataitumia iishee maanake wataipenda sana! Weka mbali na watoto Wa kike !? Naweka chini kalamuView attachment 361635
ngapi hii?
 
Hivi hizi zinazo uzwa kariakoo ni OG kweli au mchinanga..?
 
Hugo boss,, kurous,, esymiake., x pacco rabanna,, one milioni,,
 
tatizo wengine wanaleta picha za ku google huko kutudanganya hapa..... mi Black Royale inanitosha kunukia kwa mbaaali sio ile hata ukikatiza mita 10 mbali watu wanajua kuwa fulani kapita
 
Back
Top Bottom