bei mkuungapi hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bei mkuungapi hii?
Usikonde mkuu siku nikiwa ng'ambo ntakushitua Kisha ntakuleteaaiseee mkuu, we mkali wa hizi mambo,, nipe moja matata ya bei isiyozidi 30000, vyuma baba vimepasuka ujue[emoji16] [emoji16]
ayabei mkuu
Mkuu ungetuwekea na bei ungekuwa umedadavua vyema zaidi.Perfume ni uchawi wa ajabu sana. Ukivaa perfume ya ukweli ata kama mifuko ni mitupu utaonekana unatilikika pesa mifukon. Washikaji watakuheshimu mademu watakuzimia na wengine kukufia ata kama sio handsome.
Unataka pafyumu za kibepari zisizo na kelele, cheki hizi hapa
Encounter by Calvin Klein
A Men by Thierry Mugler
Polo blue by Ralph Lauren
Polo Red by Ralph Lauren
Lacoste Noir
Artisan by John Varvatos
Hizi ni balaa tupu achana na cologne za kibongo fleva hizi unakuwa Don, sumaku ya kina dada.. Yani mtu akikusogelea anaona mapesa tu kwako.
Yaitwa Misk hyo yakheKuna ule uturi wanauzaga nje ya misikiti, unapaka kidogo mzigo unaweza ukakaa kwenye nguo hata miezi 6
230k [emoji15] [emoji15] [emoji15] ,Ina ujazo wa lita ngapView attachment 701946 View attachment 701947
Wwkeni na picha,siyo mnagoogle majina alafu mnatupiga sound..
Zangu hizo hizi hapa.
One million=230,000/=
Scent of Africa for men=110,000/=
Mbona hamtaji na beikwa wapenzi wa pafyum ya Shelis,, hii kitu bei ndogo lakini noma sanaa, ngoja leo nkaichukue
100ml230k [emoji15] [emoji15] [emoji15] ,Ina ujazo wa lita ngap
Duh,mi nilifikiri Lita 5[emoji2] [emoji2]100ml
Unatumia ya kiume?
Bei gani hii mkuungapi hii?