Tujuzane!! Benki ikifilisika au kuungua moto wateja waliohifadhi hela zao inakuwaje??

Asante mkuu, mwenyewe hapa on lipoliuona juu Uzi nikachukua seat,,, nimeelimika sana kupitia huu Uzi. Asante kwa wachangiaji wote
 
Mkuu nisaidie hapa.
Kama kuna 10,000,000 na mwenye 500,000 wote watalipwa 1,500,000?
 
Inamaana unataka kusema kwamba kama MTU atakuwa na kiwango zaidi ya 5 million hatoipata iyo Pesa kulingana na Bank kufilisika
 
Wenye Amana zaidi ya 1.5 mil watalipwa 1.5mil
Chini ya hapo watapata hela zote
 
Inamaana unataka kusema kwamba kama MTU atakuwa na kiwango zaidi ya 5 million hatoipata iyo Pesa kulingana na Bank kufilisika
Scenario ya depositors insurance board ni kulipwa maximum ya 1,500,000 kama ulikua na kiasi zaidi ya hicho kwenye akaunti...ila kama ulikua na pesa chini ya 1,500,000,basi utalipwa kiasi chote.......
Baada ya hapo,taratibu za kawaida za liquidation zinaendelea...tukumbuke benki kama kamouni nyingine ina creditors(suppliers n.k) ambao pia watalipwa....hapa utafuatwa ule mtiririko wa malipo as per sheria inavyosema...huanza na secured creditors......mpaka wa mwisho.Na hapa kama baada ya kuliquidate benki na kukawa na salio,basi wale wenye balance kubwa zaidi ya 1,500,000 huweza kumaliziwa kiasi chao..
 
Samahani kidogo wandugu kama nimeubaka huu uzi....ila na mimi ningependa kuondolewa huu ujinga.........

Ningependa kujua kuwa inakuwaje mpaka benki inafirisika....yaani ni mechanism hipi hutokea hapo......!!?
Mkuu naomba nikujibu kwa ufupi sana.....benki karibia zote hufa kwa kukosa ukwasi..ak.a liquidity...na sio kukosa mtaji!!!
 
Bora ungekaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…