Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
soga sidhan kama unamfahamu.Salam kwenu.
Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua
Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Kwangu mimi Sato ni Habari nyingine.. japo Kuna wengine wa mayai sikumbuki jina wao pia wanabamba sanaSalam kwenu.
Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua
Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Hawa wanapatikana sana mto Ruvuma, ni watamu balaa.kuna samaki anaitwa mbelele mtam saaana
Huyu samaki wanafanana sana na sato.Kuhe.
sijawai kula samaki mtam kuzidi mbeleleHawa wanapatikana sana mto Ruvuma, ni watamu balaa.
Mie nimekula wote, ila naona kambale ndo mtamu.sijawai kula samaki mtam kuzidi mbelele
we unapenda vya kuteleza.😁.......anyway bado kila mtu ana chaguo lakeMie nimekula wote, ila naona kambale ndo mtamu.
Haswaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23]we unapenda vya kuteleza.[emoji16].......anyway bado kila mtu ana chaguo lake
Hawa hapaSalam kwenu.
Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua
Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
kiliko kibua si bora ukala saladini ni mtamu au ponoHapo kwa kibua aisee daah namshindwa sijui mpishi hajui kumpika? Sijaelewa ingawa nimemnunua karibu mara tatu.
Chewq apikwe supuHawa hapa
1. Songoro
2. chewa
hawa samaki ni watamu sana