Parabora
JF-Expert Member
- Jul 6, 2019
- 1,504
- 2,203
Zaidi ya sato na sangara kuna samaki wengine wa maji baridiSamaki wote wa maji baridi ni watamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi ya sato na sangara kuna samaki wengine wa maji baridiSamaki wote wa maji baridi ni watamu.
Hivi kuhe kwa kiingereza wanaitwaje? Huyo samaki nimemla katavi ni noma...mtamu sanaWapo watamu zaidi ya huyo katika Ziwa Tanganyika, mfano yupo Kuhe na Singa.
sinajinasasa Nae ni samaki ila amesahaulika tu udogo umemponza nikamsahau😁Mbona dagaa hakuna au nae sio samaki, yaani anabaki kuwa dagaa. King Mufasa,
Sent using Jamii Forums mobile app
hao ni masai wa zamani. wamasai wa sasa hivi wanakula samaki na kichwa chake.Maisha ya Masai halisi yanategemea Ng'ombe. Ng'ombe ndio kila kitu kwa Masai. Masai anakula ng'ombe (sio kila siku ni kwa matukio maalum), asali, anakunywa damu ng'ombe, maziwa, nyumba yake inajengwa kwa mavi ya ng'ombe.
Masai hali nyama nyingine zaidi ya ng'ombe, mbuzi na kondoo. Masai hata akiua mnyama pori atampa mbwa au kama kuna mtu wa kabila ingine, hali yeye. Hali kuku wala samaki. Ng'ombe ndio zawadi aliyopewa na Ngai.
Ivi prawn akiwa mkubwa kama hao tiger sindo anaotwa lobster eehBlue fish.
Tiger prawns.
Everyday is Saturday.................... 😎
Godess... hapana hao ni tofauti, ingawa scientific classification wapo order moja inaitwa Decapods...Ivi prawn akiwa mkubwa kama hao tiger sindo anaotwa lobster eeh
Dah kweli mkuu ..kama wew sio mburundi ni mkigomaWapo watamu zaidi ya huyo katika Ziwa Tanganyika, mfano yupo Kuhe na Singa.
Wapo watamu zaidi ya huyo katika Ziwa Tanganyika, mfano yupo Kuhe na Singa.
Wee jamaa upo?tumia samaki wa mwenyeji pia unaweza kupika namna hii, ni tamu kabisa