Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo anapatikana wapi?anafaa kufuga?Mkalifya ni noma
Redsnäpper na kingfish mwisho wa matatizo hao uliotaja ukikosa hela ya snäpper na kingfish watafaa
Mtaje kiyaiyai mkuu mwenzio kaswahili kanakimbiaKolekole je?
MKUU HAPA NIMEKUELEWA HUYU SAMAKI NI MTAMU KINOMAtasi
Jodari/Kingfish mwingine ni Mkunga huyu anakichwa kama cha nyoka, na huwa kichwa hakiliwi kinatupwa alafu ana mafuta sana unaweza kumchoma au kumbanika mtamu sana. Pia ngozi yake inachunwa kwa kisu na maji ya motoSalam kwenu.
Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua
Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Kibua aiseeSalam kwenu.
Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua
Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________