I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
- Thread starter
-
- #41
Bila shaka upo sawa kabisa mkuu nimeonja samaki kadhaa wa baharini hawajanibariki kivile.....ingawa kiafya wataalam wanashauri ulaji wa samaki hao sijui kwa nini.Samaki wote wa maji baridi ni watamu.
Hao samaki umeme nawafahamu kwa jina la eel fish sijui kiswahili chake ni kipi. Kumbe wanaliwa nao!? Sikuwa nafahamu hilo.1.Sangara 2.Sato 3.Kuna Samaki mmoja niliwahi kula maeneo flani hivi Uvinza tulikuwa tunaita Samaki umeme,na wana umeme kweli maana walikuwa wanawapitisha wakiwa wametolewa ngozi ya nje ambayo ndio inasemekana ina moto......
Wewe wasema!!! Yaani Yale madudu yananuka shombo balaa.... Hakuna samaki watamu kama wa Maji chumvi Narudia HAKUNASamaki wote wa maji baridi ni watamu.
Wanaliwa mkuu,kizuri ni kuwa hawana miba miba,mnofu ni mwingi zaidi...Hao samaki umeme nawafahamu kwa jina la eel fish sijui kiswahili chake ni kipi. Kumbe wanaliwa nao!? Sikuwa nafahamu hilo.
my love, hivi ni chunvi au chumvi?Wewe wasema!!! Yaani Yale madudu yananuka shombo balaa.... Hakuna samaki watamu kama wa Maji chunvi Narudia HAKUNA
Wana calcium nyingi ndio sababu nafkiri.Bila shaka upo sawa kabisa mkuu nimeonja samaki kadhaa wa baharini hawajanibariki kivile.....ingawa kiafya wataalam wanashauri ulaji wa samaki hao sijui kwa nini.
Typing error [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni chumvimy love, hivi ni chunvi au chumvi?
Halafu mama me nafsi inaniuma hunipi nafasi kabisa. Unaniona kama me mleta comedy.Typing error [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni chumvi
Komboo ndio samaki gani?[emoji15][emoji15]Hakuna samaki mtamu kama komboo. Sema kumpika ndiyo shughuli
Bila shaka upo sawa kabisa mkuu nimeonja samaki kadhaa wa baharini hawajanibariki kivile.....ingawa kiafya wataalam wanashauri ulaji wa samaki hao sijui kwa nini.
sory pomboo au dolphinKomboo ndio samaki gani?[emoji15][emoji15]
Eeeeh Kwani we si umewahiwa jamani[emoji29][emoji29][emoji29]Halafu mama me nafsi inaniuma hunipi nafasi kabisa. Unaniona kama me mleta comedy.
ni ya kweli carp mwenye miba mingi.WHAT? CARP! HACK NOP! TOO MUCH OIL LIKE SALMON BESIDE, TOO MANY BONES
I PREFER WALLEYE BONELESS FILLET WITH WHITE COLOR,
CARP FOR CHINKY, THEY EAT EVERYTHING FLY AND WITH FOUR LEGS EXCEPT AN EROPLAIN AND DINING TABLE
sio sangara, ni mmojawapo kati ya samaki wa mwenyeji hapa Asia ya MasharikiHivi carp ndo sangala?
Na nani?Eeeeh Kwani we si umewahiwa jamani[emoji29][emoji29][emoji29]
mimi ni Mchina wa kweli. sasa najifunza Kiswahili chuoni@Bakari China hivi wewe ni mchina kweli?? Kiswahili chako kimekaa vizuri kuliko majirani zetu Kenya sijui wanakwama wapi!