kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,539
KIGOMA kuna kuku wa ziwani anaitwa KUHE mtam balaaa ndugu zangu wa kigoma wanajua hiliHuwa nasikia mgebuka ni mtamu sanaa. Sijawahi kumla nitamuonja siku moja nione.
Ila mgebuka wanasema wenyewe watu wa Kigoma upate yule fresh aliyetoka kwenye maji siyo samaki aliyekaa kwenye mafriji wiki