KIGOMA kuna kuku wa ziwani anaitwa KUHE mtam balaaa ndugu zangu wa kigoma wanajua hiliHuwa nasikia mgebuka ni mtamu sanaa. Sijawahi kumla nitamuonja siku moja nione.
Ila mgebuka wanasema wenyewe watu wa Kigoma upate yule fresh aliyetoka kwenye maji siyo samaki aliyekaa kwenye mafriji wiki
Pomboo mbona aliwi mkuusory pomboo au dolphin
Chura vipi? Nasikia pia mnakula.ni ya kweli carp mwenye miba mingi.
lakini sivyo Wachina wote wanawapenda kwa wale wanaopenda, carp kutokana na Mto Mississippi ni ya bei ghali kabisa.lakini sipendi carp hata kidogo...
Wachina tunapenda kula almost chochote ila tunakula vile ambavyo tunavipenda...kwa sababu ya historia ndefu ya kupika. karibu hapa China kujaribu unavyopenda
Sole fish(ambayo inaitwa 龙利鱼 hapa China) ni bora zaidi ya wengine. HAKUNA miba hata mmoja. pia unaweza kuitumia kupika 水煮鱼(samaki yenye mafuta na pilipili)Nataka iwe na catfish
Daah hongera sana.mimi ni Mchina wa kweli. sasa najifunza Kiswahili chuoni
bila shaka lakini ni chura wa chakula wala si wale wa poriniChura vipi? Nasikia pia mnakula.
Kumvua mzia ni bora u opt kumvua papa upanga.Kiufupo hakuna samaki mchungu, wpte ni watam, ila ladha ipo kwa mlaji.
Jodari
Sehewa
Mzia
Changu
Sangara
Kibua
Sato
Migebuka
Dagaa wote
Chura wa chakula ndio yukoje. Me najua chura, chura tu. Hasa hawa wa nchi kavu.bila shaka lakini ni chura wa chakula wala si wale wa porini
Kwani wewe officially mtani wa 'wananchi'?Chura vipi? Nasikia pia mnakula.
Niliona kule kwa zero iqNa nani?
Embu kuwa serious bana.
shukrani mkuuDaah hongera sana.
Mzia shughuliKumvua mzia ni bora u opt kumvua papa upanga.
hapa China kuna watu ambao wana-raise chura especially for food. Wachina hawali chura wa porini kwa sababu wenye bakteria wengiChura wa chakula ndio yukoje. Me najua chura, chura tu. Hasa hawa wa nchi kavu.