aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,500
karibu niko opp na njia ya kwenda chooni si unajua mzuka wangu nikiona vyombo vikiwa ninatka maliwato vinakuja kupandishia nguo hapa mlangoni basi me hizi bia ndio silewi kabisaMkuu nacheki game hapa mega pub then nakuja stk hapo.. nakuja nikupe bia mbili kaka
As ante sana broukiwa unatokea segerea shuka tabata magengeni then upande huo huo wa kushoto ingia mita chache utaiona kuna njia ambayo inatokezea chang`ombe
Maisha mafupi acha aponde rahaHii Tanzania ya viwanda na hawa wazinzi!!!! tutafika kweli!!!! kijana amepata 7m badala akanunue kiwanja anawaza uzinzi tu.
Atavielewa wapi ye ujanja wake umeishia tabata segereaNyani ngabu amekupa viwanja vya kutumia bado unaangaika na tabata
1. Wantashi ipo karibu na element/samaki samaki/maisha club/kilima nyege oysterbay
2. Rhapsody iko viva tower/smooth/ oppsite na NMB HQ
Heee usinichekeshe na budget zako kali ivo!!! Unajuaje kama kiwanja hana au nyumba na vitu vingine iyo kaipata tu ya ziadaila anaonekana mshamba eti eeeHii Tanzania ya viwanda na hawa wazinzi!!!! tutafika kweli!!!! kijana amepata 7m badala akanunue kiwanja anawaza uzinzi tu.
Umempangia badget ya kimasikini lol ye anataka aspend milioni saba we unamwambia habari za lakiToa laki tatu hapo kafanye vurugu zote .......zilizobaki kafanye mambo ya msingi
Mkuuu nimebeba laki tano tu.Toa laki tatu hapo kafanye vurugu zote .......zilizobaki kafanye mambo ya msingi
Mshangae nae huyo anawaza kiwanja Mimi ninavovitatu hilo swala niliahasahauHeee usinichekeshe na budget zako kali ivo!!! Unajuaje kama kiwanja hana au nyumba na vitu vingine iyo kaipata tu ya ziadaila anaonekana mshamba eti eee
Mwambie nimebeba laki tano na elfu thelathini tu.Umempangia badget ya kimasikini lol ye anataka aspend milioni saba we unamwambia habari za laki
Bro kondom ziliwekwa za ninipepo wako anayekutuma mzuri sana, watz mtaishia kufa masikini, umepata hivyo vijisenti vya madafu badala uwaze hata kusaidia yatima kama umeshindwa hata kujisaidia wewe...eti wawaza wapi ukaupate ukimwi ..duh shetan is realy working hard....kila la kheri sheikh!!
Hivi yeye anatafuta watoto wa kike au usafiri??Kwanza tenga 20,000 nikufate na gari tujaze wese twende zetu top garage au triple 7 ukakamate watoto wakishua alaf ntakurudisha kwako boss.
Rhapsody's na Wantashi...
mkuuu sijakuelewa.
Tena za ladha tofauti hahahBro kondom ziliwekwa za nini