Tujuzane kiwanja chenye watoto wazuri hapa Dar

dah... machaka yote hya kka!!!!,, yo xeriuz o
 
Kwanza tenga 20,000 nikufate na gari tujaze wese twende zetu top garage au triple 7 ukakamate watoto wakishua alaf ntakurudisha kwako boss.
Mkuu umekuja na idea mpya now nipo mikasa hapa hapa tabata segerea hebu niambie kwanza hio triple 7 si ile ya mikochini kama unaenda Kawe
 
Bro kondom ziliwekwa za nini

issue is not all about condom brother...the whole issue ya mitungi na mademu is rigged and bold...ni kubwa mno maana haiishii tu kuwa umepiga mtungi ukapata demu anayefuata hela zako ukapiga mzigo basi...issue inaenda mbele...maana the moment umepiga nyama na huyo manzi ujue umeshaingia maagano nae...shida zake ni zako na zako zake zitakufuata siku zote za maisha yako...so kama demu ana umasikini n.k ujue umeshajizolea...so kupunguza risks mi ningekushauri tuliza mzuka na hivyo vijisenti nenda home chill bro chat na jf.
 
Tena za ladha tofauti hahah

yaani na wewe binti unakoleza mada wee utadhani anakulipa...kwanza wewe ni minor ie uko under 18...wajifanya mdada wee kujua yawakubwa na viwanja eeh!?...muonee huruma huyo kaka yako vijisenti vya madafu vinamsumbua atapoteza roho yake usiku wa leo.
 
yaani na wewe binti unakoleza mada wee utadhani anakulipa...kwanza wewe ni minor ie uko under 18...wajifanya mdada wee kujua yawakubwa na viwanja eeh!?...muonee huruma huyo kaka yako vijisenti vya madafu vinamsumbua atapoteza roho yake usiku wa leo.
Khaa under what??? Nimuonee huruma kwani ye hajui anachotafuta na matokeo yake nini?? Muonee huruma wewe afu tusidhalilishane basi kuitana mabinti humu ndani jinsi yangu sjui umeiona wapi adi uniite binti
 
Zaka kwenye pesa ya kamari? Naona mnaanza kumdhiaki Mungu
 
Mambo mengine muwe mnaacha kumsingizia shetani bhanaaa.
Eboooooo
 
Khaa under what??? Nimuonee huruma kwani ye hajui anachotafuta na matokeo yake nini?? Muonee huruma wewe afu tusidhalilishane basi kuitana mabinti humu ndani jinsi yangu sjui umeiona wapi adi uniite binti

sasa kukuita kwa jinsia yako na kwa umri wako nakudhalilisha kwa lipi!?....wewe wenyewe hujui unachat na nani ila mimi nakujua kama vile wewe unavyojua alama za viganja vya mikono yako...haya ndo maajabu ya mtandao
 
Maisha hayaendi hivo Mkuu.



Unaoneka bahiri mpaka unajibahiria mwenyewe
 
ajenge yeye strabag??

 
Kwanza tenga 20,000 nikufate na gari tujaze wese twende zetu top garage au triple 7 ukakamate watoto wakishua alaf ntakurudisha kwako boss.
Ukiona unamiliki gari tena kibaby walker, halafu wese mgogoro basi ujuwe unaiga maisha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…