LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Habari zenu wakuu.
Hakuna sehemu zinaweza kuwa nzuri kwa wajasiriamali wanaoanza kujitafuta kama minada.
Andika hapo jina la mkoa/ wilaya uliopo na siku ya mnada (minada ya wamachinga)
Kama hautojali elezea kwa ufupi pia kuhusu movement na ukubwa wa mnada husika.
# kwa jijini Dar es salaam naomba kujua siku ya mnada kata ya mbande.
Hakuna sehemu zinaweza kuwa nzuri kwa wajasiriamali wanaoanza kujitafuta kama minada.
Andika hapo jina la mkoa/ wilaya uliopo na siku ya mnada (minada ya wamachinga)
Kama hautojali elezea kwa ufupi pia kuhusu movement na ukubwa wa mnada husika.
# kwa jijini Dar es salaam naomba kujua siku ya mnada kata ya mbande.