Tujuzane madhaifu ya MO SIMBA AWARDS

Mo anasema haamini kama Simba imekuwa na mashabiki wa kumwaga kila kona. Lakini hajawa na tuzo kwa watoa hamasa,vikundi na matawi ya Simba. Mashabiki lialia kama yule jamaa bonge na yule mfupi analiaga Simba ikifungwa walitakiwa wapewe tuzo
 
Kweli kabisa mkuu
 
Swala la categories bado lina changamoto. Next time wajaribu kiwashirikisha wadau wengi wa mpira kuhusu nan aingie kwenye category na nan asiingie...
Swala la kapombe kuwepo kwenge category akat zimbe hayupo doesn't make sense.
Swala la chama kutokuwepo kwenye category ya kiungo bora doesn't make sense too...
 
Kwangu mimi nimeona, Mo awards zimezidi kujiongezea thamani, na kuifanya club ya simba izidi kupaa zaidi. Set up ya mandhari ilikuwa poa sana, waandaji walikuwa well organized.

Mapungufu niliyoyaona mimi.
1.MC's , nafikiri Mc Luvanda hakuitendea haki kabisa nafasi yake kama Mc wa Lugha ya kingereza, alishindwa kutoa maelezo mara kwa mara kwa audience yake. Pale kulikuwa na wageni waalikwa waliokuwa wakuongea lugha tofauti na kiswahili, na ndy mana wakawekwa ma Mc wawili lkn matokeo yake Luvanda amekuwa akivizia maneno na matukio ya kuongea. Ilifaa wamuite Jokate pale.

2. Suit, nimependa sana idea ya suit, ni nzr mno, lkn suit za jana hazikuwa na viwango vya kuridhisha. Pengine kitambaa alichotumia sy kizuri au designer mwenyewe kaboronga. Viatu havikuwa classic kbs, Spesho kwa suit za jana, kazingua.....next time watafute au kujaribu mastylist na madesigner wengine waone.

3. Rangi ya suit, jana wachezaji walivaa suit zenye rangi kama yenye uwekundu kwa mbali, nafikiri idea ilikuwa iendane na theme ya simba, lkn kwa maoni yangu, wangevaa rangi ya dark blue, charcoal au grey wangependeza sana. Hakuna tena sababu ya kuweka kile kiua pembeni, just iwe classy suit.
 
Acha Wivu mkuu ndio maana mnajiita Mabingwa sijui Mabingwa wa nini wakati Bingwa ni mmoja tu.Simba sports club.
 
Wakuu website iliwekwa na mashabiki walihimizwa wapigie wachezaji kura kwa kila category iliyowekwa.Mi binafsi nilipiga kura,kwenye kiungo bora chama pia alikwepo,tatizo mnalalamika wakati hata hamkuwapigia kura mliowaona wanafaa
Kwanye washiriki wa tuzo ya beki Bora Kapombe hayuko uwanjani muda mrefu ...badala yake angekuwa mohamedi Hussein.
Kabisa mkuu... hapa captain msaidizi hakutendewa haki
Mo anasema haamini kama Simba imekuwa na mashabiki wa kumwaga kila kona. Lakini hajawa na tuzo kwa watoa hamasa,vikundi na matawi ya Simba. Mashabiki lialia kama yule jamaa bonge na yule mfupi analiaga Simba ikifungwa walitakiwa wapewe tuzo
Hizi tuzo walikuwa wanapewa tu au kutokana na kura za mashabiki?
 
Nimeongea kama shabiki wa mpira. Tuache kushabikia personality cults. Tusiabudu watu awe Mo au Manji.
Nafikiri wameziita MO kwa sababu yeye ndo mdhamini. MO ni "brand name" na sio jina la MTU. Akitokea mdhamini mwingine zinaweza kuitwa jina lake
 
Hivi MANARA ANAKOSAJE TUZO...???? Yani wangeweka hata kipengele cha mhamasishaji boraa wampe molarii jamaa
 
Halafu Mpoki asiwekwe tena hachekeshi anakera na kutia aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…