Tujuzane mbinu za kichawi na namna ya kuziepuka

Tujuzane mbinu za kichawi na namna ya kuziepuka

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,878
Reaction score
5,432
Wana Jamvi karibuni tena Katika Mada pendwa Za Ulimwengu wa Kiroho.. leo Ningependa tupeane Mbinu za Hawa Watu wenye Wivu aka Wachawi mana Hawana Faida Yeyote ile zaidi ya Kukuonea Wivu na Kukuloga...

Mungu ametupa Mimea Na Akili za Kupambana Na mambo ya Kiovu tuziweke hapa na nyingine tupeane Ambazo Hatuzijui wengine..

Mie baadhi ni Hizi hapa na Wazee pamoja na Vijana Wengine mlio humu mtaongezea

1. Mvishe Mwanao Ndala mara kwa mara hasa anapoanza Kutembea ,wachaw wengi wanapenda Kutumia Nyayo za Miguu kulogea hasa mtoto anapokuwa Peku anatembea Kwenye Mchanga Anaacha Nyayo zake ,mchawi akichukua Ule mchanga tegemea Mabalaa kwa mtoto wako

2. Uchawi wa Shilingi.. Usipende kutoa Hela ndogo ndogo hasa kwa Wale Ndugu au watu wa karibu na majirani wanaopenda kuomba Mia mia au mia mbili za Maji.. Si mbaya kumpa Hela Ila jaribu kumpa Hela Ya Noti kama Mia tano ya noti au Buku au mwambie Huna . Wengi wanatumia Shilingi hizo kushusha Nyota ya Mafanikio ya Mtu kwa Kuinenea kuwa Mafanikio yako yawe na Dhamni ndogo sawa na Pesa uliyompa


Mengine Unaweza Kuongezea wanaJF
 
Nimetoka kusoma itabu cha Jasher "The Book of Jasher"
Nimegundua mbinu moja matata sana.

Inaitwa Muungurumo wa Simba, Muungurumo ambao Mtoto wa Yakobo anayeitwa Yuda aliutumia sana kupambana na wabaya wake, mpaka Farao alinyoosha mikono kwa hofu tu.

Ni mbinu njema sana, ila imekaa kiimani zaidi.
 
Nimetoka kusoma itabu cha Jasher "The Book of Jasher"
Nimegundua mbinu moja matata sana.

Inaitwa Muungurumo wa Simba, Muungurumo ambao Mtoto wa Yakobo anayeitwa Yuda aliutumia sana kupambana na wabaya wake, mpaka Farao alinyoosha mikono kwa hofu tu.

Ni mbinu njema sana, ila imekaa kiimani zaidi.
wengine hapa mkuu hatujui simba anaunguruma vipi!
 
Nimetoka kusoma itabu cha Jasher "The Book of Jasher"
Nimegundua mbinu moja matata sana.

Inaitwa Muungurumo wa Simba, Muungurumo ambao Mtoto wa Yakobo anayeitwa Yuda aliutumia sana kupambana na wabaya wake, mpaka Farao alinyoosha mikono kwa hofu tu.

Ni mbinu njema sana, ila imekaa kiimani zaidi.
Sasa ndo umeandika nini, ukiona mtu anafikia hatua anasema jambo fulani lipo kiimani jua hana reasoning. Error in thinking.
 
Sasa ndo umeandika nini, ukiona mtu anafikia hatua anasema jambo fulani lipo kiimani jua hana reasoning. Error in thinking.
Errors are not mistakes....

Kwenye hesabu errors zinakubalika ila sio mistakes.
 
This topic is not mathematical and mythical! Ukizungumza kuhusu imani tu ni hadithi za kusadikika na uvivu wa kufikiri.
Mathematics is not necessary the game of linear numbers kama ulivyokaririshwa.

Mathematics ni dhana, ni itikadi, ni mindset, ni formula ambayo katika hiyo mifumo yote ya maisha inajengwa.

Unaijua kitu inaitwa LOGIC kwenye mathematics??

Kwamba when Something is False, and another thing is False also, then the theory is true?? (FF = T)

Kwako wewe hio ni mystic lakini, kwa mwanafalsafa ni hypothesis, ila kwa mwanamahesabu ni Logical way of thinking...
 
Back
Top Bottom