Tujuzane mbinu za kichawi na namna ya kuziepuka

Tujuzane mbinu za kichawi na namna ya kuziepuka

KUEPUKA UCHAWI NI KUJENGA IMANI HAULOGEKI NA KUAMINI YESU KRISTO
 
Wana Jamvi karibuni tena Katika Mada pendwa Za Ulimwengu wa Kiroho.. leo Ningependa tupeane Mbinu za Hawa Watu wenye Wivu aka Wachawi mana Hawana Faida Yeyote ile zaidi ya Kukuonea Wivu na Kukuloga...
Mbinu ya kupambana na wachawi ni kuzishika Amri za MUNGU na kulitii NENO lake na maagizo yake yote. Ukiwa karibu na MUNGU na yeye atakuwa karibu na wewe. Tena ukiona Wachawi wanakusumbua, funga kula huku ukiomba na kusali, lakini kwanza kumbuka kuzishika Amri za MUNGU na kuacha uovu wako wote.

Kumbuka wale wote wanaompenda MUNGU, na yeye huwapenda na kuwalinda. YESU KRISTO ni jibu la maisha yako!
 
Chemsha mizizi ya mimea zaidi ya 30 then changanya na chumvi ,mchawi hakugusi wala kukunusa
 
Wana Jamvi karibuni tena Katika Mada pendwa Za Ulimwengu wa Kiroho.. leo Ningependa tupeane Mbinu za Hawa Watu wenye Wivu aka Wachawi mana Hawana Faida Yeyote ile zaidi ya Kukuonea Wivu na Kukuloga...

Mungu ametupa Mimea Na Akili za Kupambana Na mambo ya Kiovu tuziweke hapa na nyingine tupeane Ambazo Hatuzijui wengine..

Mie baadhi ni Hizi hapa na Wazee pamoja na Vijana Wengine mlio humu mtaongezea

1. Mvishe Mwanao Ndala mara kwa mara hasa anapoanza Kutembea ,wachaw wengi wanapenda Kutumia Nyayo za Miguu kulogea hasa mtoto anapokuwa Peku anatembea Kwenye Mchanga Anaacha Nyayo zake ,mchawi akichukua Ule mchanga tegemea Mabalaa kwa mtoto wako

2. Uchawi wa Shilingi.. Usipende kutoa Hela ndogo ndogo hasa kwa Wale Ndugu au watu wa karibu na majirani wanaopenda kuomba Mia mia au mia mbili za Maji.. Si mbaya kumpa Hela Ila jaribu kumpa Hela Ya Noti kama Mia tano ya noti au Buku au mwambie Huna . Wengi wanatumia Shilingi hizo kushusha Nyota ya Mafanikio ya Mtu kwa Kuinenea kuwa Mafanikio yako yawe na Dhamni ndogo sawa na Pesa uliyompa


Mengine Unaweza Kuongezea wanaJF

jifunze kwenda ku boost power bank yako aka ilizi pale unapotaka kuendana na hali ya hapa kazi tu.
jifunze kula kitimoto mara moja kwa wiki usisahau vitu ambavyo wachawi hawapatani navyo pombe na bangi.
jifunze kuwa na mbwembwe kama wao ili wajue na wewe kumbe humo kwenye uchawi
 
Wana Jamvi karibuni tena Katika Mada pendwa Za Ulimwengu wa Kiroho.. leo Ningependa tupeane Mbinu za Hawa Watu wenye Wivu aka Wachawi mana Hawana Faida Yeyote ile zaidi ya Kukuonea Wivu na Kukuloga...

Mungu ametupa Mimea Na Akili za Kupambana Na mambo ya Kiovu tuziweke hapa na nyingine tupeane Ambazo Hatuzijui wengine..

Mie baadhi ni Hizi hapa na Wazee pamoja na Vijana Wengine mlio humu mtaongezea

1. Mvishe Mwanao Ndala mara kwa mara hasa anapoanza Kutembea ,wachaw wengi wanapenda Kutumia Nyayo za Miguu kulogea hasa mtoto anapokuwa Peku anatembea Kwenye Mchanga Anaacha Nyayo zake ,mchawi akichukua Ule mchanga tegemea Mabalaa kwa mtoto wako

2. Uchawi wa Shilingi.. Usipende kutoa Hela ndogo ndogo hasa kwa Wale Ndugu au watu wa karibu na majirani wanaopenda kuomba Mia mia au mia mbili za Maji.. Si mbaya kumpa Hela Ila jaribu kumpa Hela Ya Noti kama Mia tano ya noti au Buku au mwambie Huna . Wengi wanatumia Shilingi hizo kushusha Nyota ya Mafanikio ya Mtu kwa Kuinenea kuwa Mafanikio yako yawe na Dhamni ndogo sawa na Pesa uliyompa


Mengine Unaweza Kuongezea wanaJF
m naweza ongea kidogo kuhusu no. 2 ...mwaka 2010 nlirud likizo home.. ....baba ..alinambia naomba usijaribu kumpa mtu pesa ya sarafu (utaumia watu ss hv sio wazuri)...mpe noti kama huna mnyime usimpe........it happened siku moja nikakutana na mwanamke ana mtoto mdogo akanifuata akanambia ana shida anaomba nimsaidie tshs. 200 ....mi nikatoa noti ya 500 nikampa .....alikataa kupokea ile noti akanambia ye ana shida na 200.....nikaikumbuka ile kauli ya mzee wangu
 
Huu ni ujinga wa kiwango cha fly over yaani mpaka Leo mnawaza uchawi kweli alicho sema yesu mpumbavu huamiamini kila kitu hii ndio tz ya viwanda tunayoitaka.
Yesu yupi??
Wa roma au israel maan nanyie ni balaaa.
 
Back
Top Bottom