Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
hiyo damu ipo wapiDAMU YA YESU PEKEE ndo kila kitu itumie hiyo kwenye maisha yako kwa maombi hutajuta kamwe milele.
wapi?? kwenye mboga?Tumia chumvi ya mawe
Au ndio zile za katoliki na wale wachungaji fake????Chumvi ya mawe kwa wenye imani zao
It saved my life.. Thanks and will always be thankfulNdimu na kitunguu saumu
How?It saved my life.. Thanks and will always be thankful
DAMU YA YESU PEKEE ndo kila kitu itumie hiyo kwenye maisha yako kwa maombi hutajuta kamwe milele.
Naona Wakuu Hamjamuelewa... Kuna Mimea na Mbinu za Asili ambazo Mungu ameziweka Kupambana na Hawa Viumbe waovu kwahiyo huko pia ni Kutumia Nguvu za MunguMganga wa kweli ni MUNGU tunguri na hirizi ni urembo tu
soory mkuu maelezo kidogo.....Ndimu na kitunguu saumu
Kwa kuoga na kuweka ndani..How?
Unaweka kwenye maji unaogeasoory mkuu maelezo kidogo.....
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji144]It saved my life.. Thanks and will always be thankful
Aha ha haaaa! Kaka leo umenchekesha sanaUkinikosa hapa huwezi kunipata popote
Yaaaaan mshanaNdimu na kitunguu saumu