Haya mambo hayana ukubwa!
Kichwa kidogo kikisimama, cha juu kinasanda!
Wadau, naomba kujuzwa!
Ni namna gani marais na wafalme huomba gemu?
Ikumbukwe raha ya hizo mambo huwa tamu kwa wahusika ikiwa zinafanyika faragha na kwa siri baina ya muombaji na muombwaji!
Sasa kwa mazingira ya mitutu na bunduki na wapambe; Mfalme au Rais huanza anzaje kumsoundisha demu akolee kama siye wakora tunavyotomasa huku kitaa?
Je; Demu anaweza kuchomoa? Na akichomoa usalama wake na mpenzi wake ukoje?
Yes! Wakati mwingine mwanamke anaweza kuwa ni mgonjwa sehem za siri akawa hataki kuingiliwa na mwanaume maishani, au mwanamke anaweza kuwa mwaminifu kwenye ndoa yake akamchomolea kuchepka na Rais, wakati mwingine pia mwanamke anaweza hofia afya yake kuambukizwa maradhi na Rais hivyo demu ana haki ya kukataaa.
Je; ni mbinu gani Rais hutumia kuomba gemu kwa pisi Kali?
Kichwa kidogo kikisimama, cha juu kinasanda!
Wadau, naomba kujuzwa!
Ni namna gani marais na wafalme huomba gemu?
Ikumbukwe raha ya hizo mambo huwa tamu kwa wahusika ikiwa zinafanyika faragha na kwa siri baina ya muombaji na muombwaji!
Sasa kwa mazingira ya mitutu na bunduki na wapambe; Mfalme au Rais huanza anzaje kumsoundisha demu akolee kama siye wakora tunavyotomasa huku kitaa?
Je; Demu anaweza kuchomoa? Na akichomoa usalama wake na mpenzi wake ukoje?
Yes! Wakati mwingine mwanamke anaweza kuwa ni mgonjwa sehem za siri akawa hataki kuingiliwa na mwanaume maishani, au mwanamke anaweza kuwa mwaminifu kwenye ndoa yake akamchomolea kuchepka na Rais, wakati mwingine pia mwanamke anaweza hofia afya yake kuambukizwa maradhi na Rais hivyo demu ana haki ya kukataaa.
Je; ni mbinu gani Rais hutumia kuomba gemu kwa pisi Kali?