Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mwamba amefariki!!!?????Marehemu Cisco aliyekuwa msaidizi wa Vasco Dagama angeweza kukujibu!!!
Daah wazee wa kufukua makaburiHivi Dada Angela Kairuki yupo wapi?Nimemmiss jamani.Very beautiful mpare yule daaah!
Ni ngumu ila wanafanya mara chache sana. Mazingira hayaruhusu. Kila sehemu walinzi hiyo hamu aitowe wapi?Oooh kwahiyo kuchepuka ni ngumu
Ngumu wapi ukute jiwe na yeye ni mdau anakula tunda kimasihara.Ni ngumu ila wanafanya mara chache sana. Mazingira hayaruhusu. Kila sehemu walinzi hiyo hamu aitowe wapi?
Umemkumbuka kwa lipi sasa kwenye Uzi huuHivi Dada Angela Kairuki yupo wapi?Nimemmiss jamani.Very beautiful mpare yule daaah!
Ahaaaaaaa una utani na mkubwa wewe😂😂😂Ngumu wapi ukute jiwe na yeye ni mdau anakula tunda kimasihara.
Yule mwamba amefariki!!!?????
J.F.KJacob Zuma
Ukuu wa Wlaya na Uwaziri a.k.a teuziHaya mambo hayana ukubwa!
Kichwa kidogo kikisimama, cha juu kinasanda!
Wasadau, naomba kujuzwa!
Ni namna gani marais na wafalme huomba gemu?
Ikumbukwe raha ya hizo mambo huwa tamu kwa wahusika ikiwa zinafanyika faragha na kwa siri baina ya muombaji na muombwaji!
Sasa kwa mazingira ya mitutu na bunduki na wapambe; Mfalme au Rais huanza anzaje kumsoundisha demu akolee kama siye wakora tunavyotomasa huku kitaa?
Je; Demu anaweza kuchomoa? Na akichomoa usalama wake na mpenzi wake ukoje?
Yes! Wakati mwingine mwanamke anaweza kuwa ni mgonjwa sehem za siri akawa hataki kuingiliwa na mwanaume maishani, au mwanamke anaweza kuwa mwaminifu kwenye ndoa yake akamchomolea kuchepka na Rais, wakati mwingine pia mwanamke anaweza hofia afya yake kuambukizwa maradhi na Rais hivyo demu ana haki ya kukataaa.
Je; ni mbinu gani Rais hutumia kuomba gemu kwa pisi Kali?
OoohhKuna watu huitwa "president man"....yaani hawa huchezesha hii migemu na kumletea rais kila anachokiagiza.
Ni mtu ambaye amekula kiapo cha siri kwamba akivujisha atafia mbali huko.
Kwa gia namba moja maana ukiweka free napo hakuna nyota utaacha kuonaNi kama gar kushuka mlima usilolijua.......
Mtu kishakuwa raisi mambo mengine anaweka pembeni.yaani ni ngumu sana kuwa na mahusiano na mwanamke mpya. Labda kama alikuwa na mchepuko wake kabla ya cheo hicho anaweza kuwasiliana nae ingawa kwa siri sana na mara nyingi kupitia kwa mlinzi wake wa karibu anaemwamini.
Lazima ahofie usalama wake, uaminifu unakuwa ni O kwa mwanamke mpya.bora wa zamani alomzoea ka gap kanaweza patikana.
Hawa watu wanaishi maisha magumu.hicho cheo ni kama utumwa. Mara nyingi lazima awasilikize walinzi wake.
Afu hawa watu wako busy sana hizo hamu za mara kwa mara zitoke wapi? Nchi nzima majibu atowe yeye ni ngumu
Hawa watu ni kuwaombea tu sometimes.[emoji4][emoji4]
Hivi Dada Angela Kairuki yupo wapi?Nimemmiss jamani.Very beautiful mpare yule daaah!