Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Mara nyingi watu wenye hulka kama hizi za kuchukulia mambo kwa upande wa hasi tu wanakuaga na matatizo ya stress za kimaisha
Yaani wao kila kitu wanaona ujinga na taabu tu
Yaani mjadala elimu safi we unaona watu wanajadili upuuzi tu
pole unatumia kiberiti cha kawaida tu, (flame)Mi natumia oryx kg15
Tatizo langu ni kile kichwa kinachotoa moto regulator
Yaani kila nikibadili mtungi na kichwa kinaacha kuwaka, kinakua kinatoa gasi inapuliza lakini ukiwasha haiwaki
Tatizo itakua nakosea wapi? Na huwa naifungua kwa umakini lakini wapi
Nadhani wewe ndio kati ya watu ambao hujaelewa swali, ni hivi wanaouza mitungi ya gesi walio wengi hawajatuwekea mzani kwa ajili ya kupima kujiridhisha kama imejaa au la, sasa kwanini inaisha haraka huenda kuna majibu kama mangapi hivi mfano kutojaa kwa mtungi kama unavyotakiwa, au kuna lickage, au au matumizi ndio yanayo sababisha iishe haraka lakini kwa matumizi fananishi kwanini tunatofautiana.
Acha watu wajadili naona wewe huioni tofauti hata ya bei na ubora ingawa uzito upo sawa
MIHAN ni bora na bei ya kueleweka
tumia Mihan
Noted mkuuKile kichwa kinaitwa Burner, reguleta ni kile kifaa kinachoruhusu gas kutoka kwenye mtungi mkubwa kwenda kwenye jiko la plate.
Kwa case yako unapobadilisha mtungi wako unachotakiwa kufanya ni kupunguza presha ya gas kwenye mtungi.
Tafuta kijiti au kiplastic bonyeza kwenye gololi ya mtungi gas itoke nje, bonyeza mara 2 au tatu ndio kupunguza presha huko. Zoezi hilo lifanyie nje kwenye hewa ya kutosha na sio ndani.
Baada ya hapo funga burner yako fungua gas washa. Haitasumbua tena kuwaka
Sent using Fly in any Weather.
Ujinga ni kudhani kila mtu anajua kama unavyo jua weweKama huelelewi kaa kimya. Ww unaechukulia positive mwambie sasa gesi gani inakaa sana
Hapo ndo linakuja suala la marketing. Ila gesi ni moja. Suala la ku8sha haraka halina majibu hata siku moja
Sasa COROMA imeingia vichwani mwa watu,Broo suala la gesi kuisha ni mtambuka. Kama ww una jibu mtajie iyo brand ambayo haiishi. Mtu kununua mtungi ambao haujajaa ni upumbavu wake
Wewe mtu unatumia mtungi saizi ya kati na unakaa miezi 2 tu????
Mimi natumia kampuni hiyo hiyo, tokea ni nunue mwezi wa 9 mwaka jana mpaka Leo nadunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndo linakuja suala la marketing. Ila gesi ni moja. Suala la ku8sha haraka halina majibu hata siku moja
Hii regulator ni automatic
Hii regulator ni automatic
samsung s10
unatumia jiko gan mkuuInategemea na matumizi ya mtu, mimi naishi peke yangu nilinunua kg 30 ya oryx tarehe 15 october mwaka jana, natumia gas kwa kila kitu imeisha tarehe 23 mwezi wa nne.
kwa hiyo matumizi ya gas yana matter sana kama unapka sana itaisha mapema pia regulator na aina ya jiko mfano langu linakula 30g/hr wakati majiko meng ni 120g/hr
unatumia jiko gan mkuu