Tujuzane Naweza Pata soko la ununuaji funza

Tujuzane Naweza Pata soko la ununuaji funza

Uz

Afu mwambie nikiwa na funza sina haja ya pellet ni mwendo wa kuongeza uzito To kwa kuku Wangu afu sokoni na uza kwa uzito To na kuwa nimeshinda
wachana na hiyo maneno ya mafunza.

mafunza na pellet ni mbingu na ardhi
 
We una amin mashudu ya alizet to na VIP nikitoa kuku toka singida nikaleta dsm

😳😳
nipe CP content ya hayo mafunza

kisha linganisha na pellet zenye soya nk..kuku hakui kwa mafunza wacha kudanganywa na vishoka
 
si uozeshe taka hapo kwako wewe kutusumbua tu, ozesha taka uwe umejenga sehem ya kuziozesha taka na sehem ambayo hao funza watapanda waingie unajichotea tu
 
Bei sana ndio bei gani?

Ikifika bei gani ndio inakua sana?
In english High Price...
Bei sana..
High Price?

Ni kiswahili chepesi tu na Ni lahaja Ya Kiunguja pamoja na Lahaja ya Kitanga sasa Sijui mwenzangu Lahaja Yako Ni ya Wapi??

Lahaja ya Kiunguja ndo lahaja Iliyochaguliwa kuwa Kiswahili fasaha Kwa matumizi ya Kiswahili Africa Mashariki..

Hakuna Kitu kinaitwa Bei kubwa!!!
Kwa sababu kitu kinachokuwa Kikubwa kina sifa Ambazo ni tofauti na Kitu kinachokuwa Sana..
Kingereza tunasema Much ni tofauti na Big na ni tofauti na High..

Jifunze Kiswahili..
Mimi Ni Mpwani
 
In english High Price...
Bei sana..
High Price?

Ni kiswahili chepesi tu na Ni lahaja Ya Kiunguja pamoja na Lahaja ya Kitanga sasa Sijui mwenzangu Lahaja Yako Ni ya Wapi??

Lahaja ya Kiunguja ndo lahaja Iliyochaguliwa kuwa Kiswahili fasaha Kwa matumizi ya Kiswahili Africa Mashariki..

Hakuna Kitu kinaitwa Bei kubwa!!!
Kwa sababu kitu kinachokuwa Kikubwa kina sifa Ambazo ni tofauti na Kitu kinachokuwa Sana..
Kingereza tunasema Much ni tofauti na Big na ni tofauti na High..

Jifunze Kiswahili..
Mimi Ni Mpwani
Unaposema bei kubwa au high price,maana yake hapo umefanya comparison ume compare na kitu kingine au na season fulani au na bei ya Nchi/Mji fulani au na Market value,hapo unaweza ukaja na conclusion kua hii ni bei kubwa,
Sasa wewe unaposema wana bei kubwa unakua umecompare na nini hapo? Coz kumbuka bei unayoiona wewe ni kubwa basi kuna mtu ataona ni cheap tu kwake,

Kwako mtaalamu wa Kiswahili.
 
Unaposema bei kubwa au high price,maana yake hapo umefanya comparison ume compare na kitu kingine au na season fulani au na bei ya Nchi/Mji fulani au na Market value,hapo unaweza ukaja na conclusion kua hii ni bei kubwa,
Sasa wewe unaposema wana bei kubwa unakua umecompare na nini hapo? Coz kumbuka bei unayoiona wewe ni kubwa basi kuna mtu ataona ni cheap tu kwake,

Kwako mtaalamu wa Kiswahili.
Kwanza hakuna kitu kinaitwa bei kubwa kwenye kiswahili..
Ila kwa kuwa umesema tufanye Comparison..

Kwa mfano Kilo ya Pamba kwa sasa Tanzania ni Tshs 1060 mpaka 1200...

Kilo ya Chai ni Tsh 366 mpaka 500..

Kilo ya Tumbaku kwa sasa ni 2000 mpaka 3000..
Na kadhalika..

Sasa Kilo ya Funza Kwa sasa Tanzania ni Tsh 5000 mpaka 7000...

Na mtu anayefuga Vizuri Funza anaweza kupata Kilo mpaka 600 mpaka 800 kwa mwezi ambayo ni sawa na Tsh 5.6 Mil kwa mwezi..

Ambayo ni sawa na Milion 69 kwa Mwezi..

Sasa Pesa hiyo Unaionaje kwa Kufuga tu Funza na huku unafanya Shughuli zako???
 
Tukutane sokoni😆
 
Kwanza hakuna kitu kinaitwa bei kubwa kwenye kiswahili..
Ila kwa kuwa umesema tufanye Comparison..

Kwa mfano Kilo ya Pamba kwa sasa Tanzania ni Tshs 1060 mpaka 1200...

Kilo ya Chai ni Tsh 366 mpaka 500..

Kilo ya Tumbaku kwa sasa ni 2000 mpaka 3000..
Na kadhalika..

Sasa Kilo ya Funza Kwa sasa Tanzania ni Tsh 5000 mpaka 7000...

Na mtu anayefuga Vizuri Funza anaweza kupata Kilo mpaka 600 mpaka 800 kwa mwezi ambayo ni sawa na Tsh 5.6 Mil kwa mwezi..

Ambayo ni sawa na Milion 69 kwa Mwezi..

Sasa Pesa hiyo Unaionaje kwa Kufuga tu Funza na huku unafanya Shighuli zako???
Naona hujanielewa kabisa,
Tuishie hapo mkuu.
 
Tujuzane soko la ununuji funza lipo vipi
Soko lipo makampuni ya vyakula vya mifugo...huna uwezo wa kusuppy ikatosha hata kama unatengeneza tani kwa siku. Ishu ni kampuni zinataka mikataba ya mwaka mzima, mfano kama ni tani kwa siku ndani ya mwaka mzima kila siku unatoa mzigo wao watanunua ukishindwa kusupply utalipa fidia...bei yako itashindana na bei ya protein nyingine iliyopo sokoni kama dagaa, soya etc
 
si uozeshe taka hapo kwako wewe kutusumbua tu, ozesha taka uwe umejenga sehem ya kuziozesha taka na sehem ambayo hao funza watapanda waingie unajichotea tu

Soko lipo makampuni ya vyakula vya mifugo...huna uwezo wa kusuppy ikatosha hata kama unatengeneza tani kwa siku. Ishu ni kampuni zinataka mikataba ya mwaka mzima, mfano kama ni tani kwa siku ndani ya mwaka mzima kila siku unatoa mzigo wao watanunua ukishindwa kusupply utalipa fidia...bei yako itashindana na bei ya protein nyingine iliyopo sokoni kama dagaa, soya etc
Uko gud mzee ila kweny makampuni ata mawili to kama unweza fahamu.
 
Back
Top Bottom