We utakuwa unawajua vibaka walio nikaba hpo mulaaaEneo langu la kula bata ni pale manzese darajani. Huwa natulia pale na vikaranga vyangu viwili vya mia mia nakula weeee huku napunga upepo,vikiisha nashuka zangu taratibu ili nisijikwae kuelekea home
Shost ntajie viwanja vya wazee hapa dar vyenye band nzurii nnashida na wazee mieMie bado mdogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenda kubanana na wazee sitaki. Napenda sehemu zenye mziki mzuri na watu wastaarabu ila sio ustaarabu wa wazee. Wazee mafisi sana ndo maana sipendagi kwenda maeneo yao.
Kuna chimbo huwa nakuja kula mishkaki hapo mitaa hiyo.
Dini imekuwa kichaka chenye kuficha mengi!!