Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Eneo langu la kula bata ni pale manzese darajani. Huwa natulia pale na vikaranga vyangu viwili vya mia mia nakula weeee huku napunga upepo,vikiisha nashuka zangu taratibu ili nisijikwae kuelekea home
We utakuwa unawajua vibaka walio nikaba hpo mulaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie bado mdogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenda kubanana na wazee sitaki. Napenda sehemu zenye mziki mzuri na watu wastaarabu ila sio ustaarabu wa wazee. Wazee mafisi sana ndo maana sipendagi kwenda maeneo yao.
Shost ntajie viwanja vya wazee hapa dar vyenye band nzurii nnashida na wazee mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…