Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo hakuna option zaidi ya hiyo.. yaani hawajakupa kozi nyingine ..kama wamekupa nitajitie kumi mi ntakujia kozi ya kujaza...
Nadhani taarifa hii inaweza kukusaidia pia.
Kuna watu wengi tu imewatokea hivyo,walioenda ofisi za TCU waliambiwa ni malfunction iliyotokea katika systems zao ndo ilisababisha hilo tatizo.
Wamepewa fomu za kujaza,kuelezea tatizo na ina sehemu pia ya kujaza course codes.Wameambiwa mpaka kufikia jumatatu tatizo litakuwa solved.
Hili tatizo limewapata wengi. Kuna mmoja ana ACD ya PCB ila kaachwa.
Wasiliana directly na admission office ya vyuo kama CUHAS. Wanashughulikia hilo tatiizo.
Nasikia eti kuna mchezo mchafu huko TCU.
Nyingi ni hiz ambazo mkopo ni non priority afu ukizingatia kwetu ni masikin ndo mana nikasema kuwa sijAona ya kujAza
kwahiyo hakuna option zaidi ya hiyo.. yaani hawajakupa kozi nyingine ..kama wamekupa nitajitie kumi mi ntakujia kozi ya kujaza...
Kozi nyingi za IT and computer related honest zinashida sana..ya ajira mtaani huu based na observation na experience mtaani ilabachelor science bussines infomation system kwel hii inafaa hasa ukizingatia soko la ajira?
au ukichaguliwa unaweza kubadilisha
Tatizo coz walizonipA hAzina mkopo alafu most f zem ni za vyuo vya privateKozi nyingi za IT and computer related honest zinashida sana..ya ajira mtaani huu based na observation na experience mtaani ila
Kama ukipata opportunity ya ajira au kujiajiri ni kozi nzuri sana..
Kozi hiyo uzuri wake ni kwamba ni issue za mifumo ya IT na biashara..na ndio dunia inaenda..
USHAURI WANGU KWENU WOTE KWA YEYOTE AMBAYE AMEPATA OPTION YA SECOND SELECTION ARDHI UNIVERSITY AU CHUO CHOCHOTE ENGINEERING ACHAGUE HIZO KOZI KAMA ELECTRICAL MECHANICAL AU CIVIL AU CHUO CHA MAJI WDMI...
Poleni sana wadogo zangu! kwanza kabisa napenda nkujulishe waombaji zaid ya 90% wa 2nd round kwa mwaka wetu sisi 2011 hawakupata mkopo! Ushaur wangu ni huu, kwa kuwa umepewa nafas ya ku-apply tena, jaza tu.. huwezi jua! Bt ikitokea ukashindwa kupata mkopo jitathmini, can you do it without a public loan? If you are capable of atleast paying the school fee then go! Trust me, utatoboa tuu! Bt if u can't, don't go n hang yoself! Huo sio mwisho, u may postpone a year! Hairisha mwaka! Bt mwakan ucrudie makosa ya mwaka huu! Unajua kwa nn hujawa selected? Ulijaza coz maarufu kwa vyuo maarufu tu while you are not competent enough! Take my advice!hata mm yamenikuta hata cjui nfanye nn mpka saiv nahc kchanganyikiwa
Poleni sana wadogo zangu! kwanza kabisa napenda nkujulishe waombaji zaid ya 90% wa 2nd round kwa mwaka wetu sisi 2011 hawakupata mkopo! Ushaur wangu ni huu, kwa kuwa umepewa nafas ya ku-apply tena, jaza tu.. huwezi jua! Bt ikitokea ukashindwa kupata mkopo jitathmini, can you do it without a public loan? If you are capable of atleast paying the school fee then go! Trust me, utatoboa tuu! Bt if u can't, don't go n hang yoself! Huo sio mwisho, u may postpone a year! Hairisha mwaka! Bt mwakan ucrudie makosa ya mwaka huu! Unajua kwa nn hujawa selected? Ulijaza coz maarufu kwa vyuo maarufu tu while you are not competent enough! Take my advice!
Hili tatizo limewapata wengi. Kuna mmoja ana ACD ya PCB ila kaachwa.
Wasiliana directly na admission office ya vyuo kama CUHAS. Wanashughulikia hilo tatizo.
Nasikia eti kuna mchezo mchafu huko TCU.
Wadau mimi nimeingia kwenye kibox cha application nikakuta hakuja andikwa tena ile SECOND ROUND hebu na wewe ingia alafu tuambizane kumeandikwaje?
kijana mbona hujui kujieleza yaan topic haifanan habar yenyewe...
kwa nnavyo jua mm tulio 1st round tumeandikiwa tu u have been selected succusesfull hakukua na habar za 2nd round... nisawà umeweka kichwa cha scania kweny body ya nissan patrol.
uliza vizuri tena