Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Tupo Kaka Masai saa ingine kuparangana na maisha ndio kunafanya tukosekane humu. Japokuwa na wewe pia adimu.Mie mzima kabisa...Hamwonekani humu au sijui mimi ndiye sionekani!
huyu mzee babu yenu jukwaani kapotelea wapi?
Yupo ila naonaga Post zake asubuhi tu sa sijui ndio anatafuta grisi baada ya hapo au mie ndio napishana naye.
CC. Babu Asprin.