DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Habari wana jamvi,
Moja kwa moja kwenye mada, binafsi nilianza kuisikia JamiiForums 2012 na kipindi hicho simu zililokua zinasapoti internet nyingi ni OS, na JAVA phones japo android zilikuepo ila too expensive by that time.
Ni mpenzi wa riwaya nakumbuka rafiki yangu aliniambia riwaya zinatumwa JF nikashawishika kufungua ID lakini nikasahau password nikafungua id tena ikapotea, na kwa sasa ninayo hii kiukweli JF inanifaa sana nimejifunza mengi kupitia JF nimegundua JF ina vitu vingi zaidi ya riwaya experts wa kutosha. JF is the great place to learn.
Wewe je tujuze ulianza lini kutumia JF? Kipi kilichokuvutia.
Moja kwa moja kwenye mada, binafsi nilianza kuisikia JamiiForums 2012 na kipindi hicho simu zililokua zinasapoti internet nyingi ni OS, na JAVA phones japo android zilikuepo ila too expensive by that time.
Ni mpenzi wa riwaya nakumbuka rafiki yangu aliniambia riwaya zinatumwa JF nikashawishika kufungua ID lakini nikasahau password nikafungua id tena ikapotea, na kwa sasa ninayo hii kiukweli JF inanifaa sana nimejifunza mengi kupitia JF nimegundua JF ina vitu vingi zaidi ya riwaya experts wa kutosha. JF is the great place to learn.
Wewe je tujuze ulianza lini kutumia JF? Kipi kilichokuvutia.