Tujuze umeanza kutumia JamiiForums tangu lini? Ni kipi kilichofanya ukavutiwa na JF?

Tujuze umeanza kutumia JamiiForums tangu lini? Ni kipi kilichofanya ukavutiwa na JF?

Platinum member ni mwanachama yeyote aliyechangia ukuaji wa JamiiForums. Hata wewe leo hii ukichangia chochote kwa ajili ya kuikuza JF, unakuwa Platinum member papohapo...

Nigongee like kama umenielewa uzuri...
Ehehehe ayaa mkuu kula like 👍 Kuonesha nimeelewa vizuri
 
My friend (now SO) wanted to learn Swahili language. He started with Duolingo, and it was a great help. I also taught him what I know.

We tried to search where he can practise Swahili language online. That led me here...I decided to give it a shot, and here I am.
 
Niliisikia kupitia kwa huyu boss mwenyewe alikuwa anaisema na classmate wake. Nilikuwa standard 7 nikajua litakuwa ni jarida kama Mnara wa Mlinzi.

Siku chache baadae nikakutana na kipeperushi kimebandikwa duka flani kimeandikwa www.jamiiforums.com nikakumbuka si ndio hii nyumbani walikuwa wanaisema. Sikuwa na simu nikapuuzia.

Siku moja nikaingia Google kutafuta kitu nikapewa machaguo kutoka JF nikaingia. Tokea hapo nikawa nikibahatisha simu naingia uku, kuanzia form 2 nikapata simu ya Java nikawa naingia kupitia Opera Mini natafuta mada yoyote.

ID yangu ya kwanza nilifungua nikiwa form 4 nikakaa miezi mingi si-log in kwa vile sichangii nasoma tu nikapoteza password, nikaja na ID hii after form 4.

Umesema maneno mengiiiii ila hujajibu swali!???? LINI ULIJIUNGA NA JF!???
 
My friend (now SO) wanted to learn Swahili language. He started with Duolingo, and it was a great help. I also taught him what I know.

We tried to search where he can practice Swahili language online. That led me here...I decided to give it a shot, and here I am.

When did you join JF!???
 
Back
Top Bottom