Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hapana... kibongobongo kila mtu anakula kwa jasho lake. Chapa kazi kijanaSasa bongo kila kitu fursa, nikajua kuna incentive yoyote maybe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana... kibongobongo kila mtu anakula kwa jasho lake. Chapa kazi kijanaSasa bongo kila kitu fursa, nikajua kuna incentive yoyote maybe...
Sadaka haina bei elekeziBei gani sasa naitaka iyo beji
Sadaka haina bei elekeziBei gani
Mzee
Sio kubwa ni laki moja tuSasa bongo kila kitu fursa, nikajua kuna incentive yoyote maybe...
Kwani huwezi soma kama GUEST!?Kwahiyo umebadirisha ID au? Maana ID yako inasema ulijiunga 2019.
Ehehehe ayaa mkuu kula like 👍 Kuonesha nimeelewa vizuriPlatinum member ni mwanachama yeyote aliyechangia ukuaji wa JamiiForums. Hata wewe leo hii ukichangia chochote kwa ajili ya kuikuza JF, unakuwa Platinum member papohapo...
Nigongee like kama umenielewa uzuri...
Pengine hata kwenye uzi huu, umeanzisha uzi na kujijibu bila kuji-kwoti2013 japo ninazo id mbili na hii ya hivi karibuni
Ata Lodge unaweza.Kwani huwezi soma kama GUEST!?
Bilashaka alipata ban ya uhakika kabisaKwahiyo umebadirisha ID au? Maana ID yako inasema ulijiunga 2019.
Alaf hata comment hazifiki buku mkuu au wee ni kusoma tu basiNilijiunga 2009 ikiitwa JAMBO FORUM.
Mmoja wa watu walionivutia kujiunga hapa JF (kwa muda mrefu nilikuwa naingia nikiwa ni mgeni) ni wewe! Na hasa inapokuwa inaongelewa habari ya nyumbani kwetu Mbeya mjini!Tuliojiunga enzi za JamboForums tuna comment wapi?
Niliisikia kupitia kwa huyu boss mwenyewe alikuwa anaisema na classmate wake. Nilikuwa standard 7 nikajua litakuwa ni jarida kama Mnara wa Mlinzi.
Siku chache baadae nikakutana na kipeperushi kimebandikwa duka flani kimeandikwa www.jamiiforums.com nikakumbuka si ndio hii nyumbani walikuwa wanaisema. Sikuwa na simu nikapuuzia.
Siku moja nikaingia Google kutafuta kitu nikapewa machaguo kutoka JF nikaingia. Tokea hapo nikawa nikibahatisha simu naingia uku, kuanzia form 2 nikapata simu ya Java nikawa naingia kupitia Opera Mini natafuta mada yoyote.
ID yangu ya kwanza nilifungua nikiwa form 4 nikakaa miezi mingi si-log in kwa vile sichangii nasoma tu nikapoteza password, nikaja na ID hii after form 4.
Mmoja wa watu walionivutia kujiunga hapa JF (kwa muda mrefu nilikuwa naingia nikiwa ni mgeni) ni wewe! Na hasa inapokuwa inaongelewa habari ya nyumbani kwetu Mbeya mjini!
My friend (now SO) wanted to learn Swahili language. He started with Duolingo, and it was a great help. I also taught him what I know.
We tried to search where he can practice Swahili language online. That led me here...I decided to give it a shot, and here I am.
We..dada acha uongo sio 2009 bali ni 2008Nilijiunga 2009 ikiitwa JAMBO FORUM.
Oh, thank you.When did you join JF!???