Tujuze umeanza kutumia JamiiForums tangu lini? Ni kipi kilichofanya ukavutiwa na JF?

Tujuze umeanza kutumia JamiiForums tangu lini? Ni kipi kilichofanya ukavutiwa na JF?

Makiseo hapo juu, mbona unanigongea like kimyakimya bila kusema lolote?

Hivi unajua bado niko nakusubiria chumbani PM?
 
Nadhani kuna habari nilikuwa naitafuta nikakuta wamenidirect huku jf lakini web ikawa siielewi nikaamua kutafuta App aisee.. Nikawa na addiction ya Jf acha tu ilikuwa too much yani.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Habari wana jamvi,

Moja kwa moja kwenye mada, binafsi nilianza kuisikia JamiiForums 2012 na kipindi hicho simu zililokua zinasapoti internet nyingi ni OS, na JAVA phones japo android zilikuepo ila too expensive by that time.

Ni mpenzi wa riwaya nakumbuka rafiki yangu aliniambia riwaya zinatumwa JF nikashawishika kufungua ID lakini nikasahau password nikafungua id tena ikapotea, na kwa sasa ninayo hii kiukweli JF inanifaa sana nimejifunza mengi kupitia JF nimegundua JF ina vitu vingi zaidi ya riwaya experts wa kutosha. JF is the great place to learn.

Wewe je tujuze ulianza lini kutumia JF? Kipi kilichokuvutia.

2011
 
Le mutuz yule wa instagram?
Screenshot_20210315-231328.png
Huyo huyoooooo!
 
Back
Top Bottom