Tukae tayari kwa update ya CAS toka Yanga, uhakika kabisa

Tukae tayari kwa update ya CAS toka Yanga, uhakika kabisa

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
sote tunajua Morrison akifanya kitu lazima update ya CAS ije maana pale utopoloni hakuna cha wakili msomi,engineer,tajiri mwenye mijengo na ma lorry ya kufa mtu wote akili zao kama za Bumbuli au Juma khatib a.k.a Antonio Nugaz.

Kwa kifupi sema kwamba wakili msomi BM 3 kazua balaa huko kirumba ili kuwatuliza mashabiki wa utopoloni lazima tamko kali litoke kesho au leo usiku huku likiwalaumu TFF.
 
IMG_1929.png
 
sote tunajua Morrison akifanya kitu lazima update ya CAS ije maana pale utopoloni hakuna cha wakili msomi,engineer,tajiri mwenye mijengo na ma lorry ya kufa mtu wote akili zao kama za Bumbuli au Juma khatib a.k.a Antonio Nugaz.

Kwa kifupi sema kwamba wakili msomi BM 3 kazua balaa huko kirumba ili kuwatuliza mashabiki wa utopoloni lazima tamko kali litoke kesho au leo usiku huku likiwalaumu TFF.

Subiri Waje[emoji23][emoji23][emoji23]
 
sote tunajua Morrison akifanya kitu lazima update ya CAS ije maana pale utopoloni hakuna cha wakili msomi,engineer,tajiri mwenye mijengo na ma lorry ya kufa mtu wote akili zao kama za Bumbuli au Juma khatib a.k.a Antonio Nugaz.

Kwa kifupi sema kwamba wakili msomi BM 3 kazua balaa huko kirumba ili kuwatuliza mashabiki wa utopoloni lazima tamko kali litoke kesho au leo usiku huku likiwalaumu TFF.
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom