Tukatae ndoa za Jinsia moja - Si utamaduni wetu

Tukatae ndoa za Jinsia moja - Si utamaduni wetu

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
 

Attachments

  • 071a77f3501a4ec6b57196ac324f960b_664593C036BF7CEB92D9B7636D6E979C_video_dashinit.mp4
    2.6 MB
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa kila siku.
Jikite kukemea vitendo vya ulawiti vinavyofanywa hadi na masheikh na mapadri
 
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa kila siku.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
achana na hayo, andika/paza sauti kuhusu watu wanaopotea na kuuawa. Hili litakuja baada ya uhai kuwa salama!
 
Back
Top Bottom