Tukatae ndoa za Jinsia moja - Si utamaduni wetu

Tukatae ndoa za Jinsia moja - Si utamaduni wetu

1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Chanzo cha utamaduni wa nchi ni itikadi ya serikali ili madakani.

Itikadi ya nchi ni serikali isiyo na dini.

Ndio ya jinsia moja ni kwa wasio na dini.

Tukitakata kuunda serikali inayokataa uliwati tunapaswa kubadili itikadi ya serikali ya dini zote
 
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Neno NDOA,

Tafsiri ni mume na mke.

Sasa NDOA za JINSIA Moja ni complex term, haipo na haijawahi kuwepo.

Ukiuita muingiliano wenye asili ya kuzimu utakuwa hujakosea.
 
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Ukosefu wa ajira sio bahati mbaya, it is by design for these very things.Fuata link ifuatayo uone ukweli huu.Soma goals zote 21 uone what is at stake,we are cornered mkuu.

 
Ushoga ulikuwepo na hautakwisha na upo Dunia nzima...Cha msingi mlinde mwanao....na pia mwanaume ambaye siyo shoga hawezi kushawishika kupitia app Wala Alama ya upinde
Hili ndiyo jibu

Uzi ufungwe

Ova
 
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Hali ni mbaya sana
 
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Acha promo we ndugu tushakushtukia
 
Tahadhari inakuaje promo? Au umeshalowa?
Endelea kuyapa promo, uzuri sasa hivi tumewastukia kitambo tu.
Kuna asiejua hizo mbanga ni za hovyo, ila ninyi kwa kujistukia kwenu basi mnaanzisha nyuzi uchwara kama hizi zisizo na kichwa wala miguu ili jamii iwaone hampo huko na mnakemea ilhali mnasokomezewa.
 
Endelea kuyapa promo, uzuri sasa hivi tumewastukia kitambo tu.
Kuna asiejua hizo mbanga ni za hovyo, ila ninyi kwa kujistukia kwenu basi mnaanzisha nyuzi uchwara kama hizi zisizo na kichwa wala miguu ili jamii iwaone hampo huko na mnakemea ilhali mnasokomezewa.
Duh we jamaa mbona umepaniki? Kulikoni?
 
Back
Top Bottom