Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Ukute na wewe una boyfriend hapo ulipounapoteza muda kumshauri mtu asiwe choko na kinyero cha kwake, atajua mwenyewe. kwa kuwa binadamu alipewa free will, wacha wapelekeane moto. tubaki wachache pis nyingi πππ
Chanzo cha utamaduni wa nchi ni itikadi ya serikali ili madakani.1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Neno NDOA,1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Ukosefu wa ajira sio bahati mbaya, it is by design for these very things.Fuata link ifuatayo uone ukweli huu.Soma goals zote 21 uone what is at stake,we are cornered mkuu.1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Hili ndiyo jibuUshoga ulikuwepo na hautakwisha na upo Dunia nzima...Cha msingi mlinde mwanao....na pia mwanaume ambaye siyo shoga hawezi kushawishika kupitia app Wala Alama ya upinde
πVijana lindeni Mindyku hiyo
Hali ni mbaya sana1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Pole
Acha promo we ndugu tushakushtukia1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Kuuongelea ni kuupigia promo tu, na kuwapa watu machimbo mapya.Unavopost ndio unakataa au unapiga promo
Tahadhari inakuaje promo? Au umeshalowa?Kuuongelea ni kuupigia promo tu, na kuwapa watu machimbo mapya.
Endelea kuyapa promo, uzuri sasa hivi tumewastukia kitambo tu.Tahadhari inakuaje promo? Au umeshalowa?
Duh we jamaa mbona umepaniki? Kulikoni?Endelea kuyapa promo, uzuri sasa hivi tumewastukia kitambo tu.
Kuna asiejua hizo mbanga ni za hovyo, ila ninyi kwa kujistukia kwenu basi mnaanzisha nyuzi uchwara kama hizi zisizo na kichwa wala miguu ili jamii iwaone hampo huko na mnakemea ilhali mnasokomezewa.
NakuchanaDuh we jamaa mbona umepaniki? Kulikoni?