TUKI badilisheni maana ya misamiati hii

TUKI badilisheni maana ya misamiati hii

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
TUKI wataalamu wa Kiswahili hii inawahusu. Hii misamiati inapaswa kubadilishwa ili kuendana na kasi ya mweshimiwa.

1. Mbunge....huyu awe ni mtu anayepaswa kuunga mkono serikali na ikulu kwa kila kitu. Akishachaguliwa aweke pembeni matakwa ya wananchi na kuwa mpambe wa rais

2. Mnyonge........huyu awe ni mtu wa serikalini anayetembelea V8 na magari makubwa makubwa.

3. Mzalendo.......awe ni mtu asiyepinga rais kwa chochote mile

4.Msaliti..........huyu awe ni mtu yeyote mfano wa Lissu,Zitto au Heche ambaye anakataa kuburuzwa kama guruwe linapelekwa mnadani

Ongezeni na misamiati mingine inayotakiwa kubadilishwa
 
Kamanda wa Anga- Mtu Yeyote ambae Ni anaebadilisha Katiba Kwa kuondoa kipengele Cha Ukomo w uongozi

Kubadili gia angani- Kitendo Cha kumtakasa Mtu mliekuwa mnamkashifu Sana lakin mkabadili maamuzi ghafla Baada ya kupewa donge nono

Msaliti anaeiba Siri zetu- Mtu Yeyote anaeonesha nia ya kuwania nafasi ya Uongozi unayoishikilia
 
Kamanda wa Anga- Mtu Yeyote ambae Ni anaebadilisha Katiba Kwa kuondoa kipengele Cha Ukomo w uongozi

Kubadili gia angani- Kitendo Cha kumtakasa Mtu mliekuwa mnamkashifu Sana lakin mkabadili maamuzi ghafla Baada ya kupewa donge nono

Msaliti anaeiba Siri zetu- Mtu Yeyote anaeonesha nia ya kuwania nafasi ya Uongozi unayoishikilia
Unaumwa akili,kunywa dawa kwnza
 
Tuki pia waweke na hizi
Konki ni mwanaume anae ingiliwa na kuingilia wenzie kinyume na maumbile pia ni mbabe
Bashite mtu aliyegushi vyeti na kupata cheo
Haya yameshaanza kutumika mitaani
 
Ukipata zero shuleni au umbumbumbu utaitwa bashite..kwahyo kamusi itajaa maneno mawili..kilaza na bashite at the same meaning
 
Back
Top Bottom