Kuna. Wakati tunajadili vitu kwa upeo mdogo Sana. Badala ya kujibizana kiungwana tunazidiana kuzodoana.Kivp Mzee.....toa fact
Yule jamaa angekuwepo....hakika Simba ingekuwa level za mbele sanaMarehemu Hans Pop baada ya mechi ya Simba na Yanga anasema anatamani awatandike na Rungu, Chama na Luis Kwa viwango wanavyo onyesha ila wakikutana na timu ndogo Wana jitutumua kwelikweli.
Huoni kuwa ...anatengeneza bomu kubwa .....siku hayupoKwa maoni yangu, anayetoa assist ni muhimu zaidi maana anatafunia watu wakameze kiulaini.
Hata ukiwa mmaliziaji mzuri ila hauna mtu wa kukupa mipira rahisi ya kuimalizia inakuwa ngumu kwako kumalizia.
Umetumia vigezo Gani kumpimaWe jamaa kweli kimichezo upo nyuma, huo ndio ulinganishi wakumpata mchezaji bora zaidi kwakuangalia matokeo ya league tena hata msimu haujaisha?!
Nakudharau kwa kumlinganisha Feasal kwa Chama. Kwa mpira wa kibongo bongo Chama ndiye bora kuliko Aziz na huyo dogo mbahatishaji Feasal
Takwimu hazidanganyi Sheikh! Fei Toto ni next level.Kivp mkuu ...tua uchambuzi kidogo
Nyie ndo hamnaga la kusema mnaishia kusema next level. Next to what?? DadavuaTakwimu hazidanganyi Sheikh! Fei Toto ni next level.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Mm nadeclare interest...kwa Yanga huwa namkubali Fei baby...ilaaa huwezi mlinganisha na Chama kwa ufundi hata kidogo..hapa hatulinganishi mbio kwa sbb hatuko kwenye mashindano ya riadha..unaweza ukawa na mbio kama tuisila na ukachoka tuu kabla game kuisha usipate lolotee...
Unaweza ukacheza kwa taratibu kama Chama huku kichwani akifanya calculations za kibabe na kuisaidia timu ku score maana kazi yake sio kufunga...
Feitoto ni mwokozi wa Yanga pale timu inapoenda kushindwa yy huwa anapambana lilwalo na liwe goli lipatikane na huwa anafunga anategea timu pinzani imechoka haimkumbuki na yy anafanya jambo.