Tukiachana na assist, ni kitu gani Chama anamzidi Fei Toto?

Sawa
Your browser is not able to display this video.
 
Rejea mechi zenu kati ya RIVERS, VIPERS & AL HILAL.
 
Kwahiyo
Mechi hizi zilikuwa nyepesi?

Simba vs Nkana
Simba vs Vita AS


UTOPOLO WENYE AKILI TIMAMU NI WAWILI TU.
WEWE HAUMO
 
feisal ni mzuri kwa ligi ya tanzania tu kwengine hana tofauti na mamba nchi kavu anakuwa hana makali wakati chama hata kimataifa anafanya mambo yale yale waulize vital all ahyl kaizer chief gender marine
 
Mnataka kuwachumisha watu dhambi bure tu, yaan umfananishe chama na fei jamani,
Unajua kuna dhambi zingine ni rahisi kuepuka... (yaan ufike kwa mola wako afu useme fei alikuwa zaidi ya chama hiii)
 
Mnataka kuwachumisha watu dhambi bure tu, yaan umfananishe chama na fei jamani,
Unajua kuna dhambi zingine ni rahisi kuepuka... (yaan ufike kwa mola wako afu useme fei alikuwa zaidi ya chama hiii)
Leta utetezi wako mkuu ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…