Tukiachana na assist, ni kitu gani Chama anamzidi Fei Toto?

Tukiachana na assist, ni kitu gani Chama anamzidi Fei Toto?

[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Point niliyopata hapa ni kuwa .....Kuna mmoja japo inasemekana yupo slow .....but anatumia akili kubwa kusongesha timu


Mwingine ana struggle liwalo na liwe kupata matokeo
Well understood
 
Marehemu Hans Pop baada ya mechi ya Simba na Yanga anasema anatamani awatandike na Rungu, Chama na Luis Kwa viwango wanavyo onyesha ila wakikutana na timu ndogo Wana jitutumua kwelikweli.
waafrika wengi akili zao ndogo ukiwemo wewe kama utazaa mtoto muombe Mungu asichukue akili zako hata 1 %, AS VITA, AL AHLY,NKANA,EL MERECK, JS SAURA, KAIZER CHIEF,ASEC,BERKANE na wengine wengi waliopata adhabu Kwa hao viumbe ni Team ndogo? kwa akili Yako kama mbegu ya mchicha YANGA team kubwa kuliko niliowataja.
 
...Chama na Luis Kwa viwango wanavyo onyesha ila wakikutana na timu ndogo Wana jitutumua kwelikweli.
Mechi za timu ndogo ndogo ni kama hizi:

1670263489050.png
 
Feisal mwenyewe ukimuuliza ni mchezaji gani anayemuogopa kumkaba kwa pupa ili asiaibike kwa kurambishwa nyasi atakwambia ni chama . Sasa wewe kinyangaragata wa madimbwini huko ndo unakuja kuanzisha nyuzi za ajabuajabu kama hizi.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kuonesha kuwa chama ni habari nyingine, mlishatengeneza hadi jezi huko yanga zenye jina lake kipindi anakaribia kuachana na RS Berkane. Rais wenu na vijana wenu wa habari wamemlilia sana. Hii ya kumlinganisha na wachezaji wenu, ni mbinu tu ya kujifariji na kujiweka sawa kisaikolojia. Mwamba wa Lusaka ni tatizo! Kama rais wenu alitamka chama ni hatari, wewe ni nani ujitingishe?!
 
Walianza chama vs aucho, ikaja aziz ki ss hv feisal. Jmn chama ni mmoja tu na hana mpinzani na hakuna wa kufananishwa nae bongo hii
Inawezekana ... Chama ndo mchezaji fundi pekee pale kwa wekundu wa msimbazi
 
Feisal mwenyewe ukimuuliza ni mchezaji gani anayemuogopa kumkaba kwa pupa ili asiaibike kwa kurambishwa nyasi atakwambia ni chama . Sasa wewe kinyangaragata wa madimbwini huko ndo unakuja kuanzisha nyuzi za ajabuajabu kama hizi.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Feisal yupi
 
Back
Top Bottom