Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Kwa Yanga, mechi dhidi ya Azam na dhidi ya Simba huwa ni kubwa kama ulivyosema. Kwa Simba, mechi kubwa ni dhidi ya Al Ahly, Orlando Pirates, ASEC Abidjan nk.... tukianza na perfomance kwenye mechi kubwa tunaona fei anakiwasha akikutana na azam, simba