Tukiachana na assist, ni kitu gani Chama anamzidi Fei Toto?

Tukiachana na assist, ni kitu gani Chama anamzidi Fei Toto?

Fei anampa kile anachokitaka mwl na tena timu yake ikicheza kiwanja chochote na timu yoyote,fei anaweza kumpa mwalimu huduma ya defensive box to box,attacking na vile vile holding middle field (6,8 na 10)anafunga anakaba mwl ana uwezo wa kumtumia vyovyote vile na popote pale sio huyo mchezaji wenu wa match za mchongo na kidar city hao au na dada zenu kina azam,coast,namungo,ruvu n.k,match tough kama ya juzi sahau chama kukupa chochote
Serikali iendelee kuzuia mihadarati yanga vs prison mechi ngumu kuliko simba vs Nkana,simba vs Soura , Simba vs Ahly , Simba vs El mereck,Simba vs vita na wengine wengi ambao huyu kiumbe aliweka alama.Tumia akili wewe sio mnyama wa kufugwa
 
Mmoja anaweza kucheza namba 3 ....( Feitoto). Ikiwemo ya Chama ......ila Chama yupo dormant no moja
Mechi za kimataifa zinakuja angalia wote wawili wanavyokutana na wapinzani waliokamilika kiakili na uwezo Nani ataamua mechi za klabu yake.
 
Serikali iendelee kuzuia mihadarati yanga vs prison mechi ngumu kuliko simba vs Nkana,simba vs Soura , Simba vs Ahly , Simba vs El mereck,Simba vs vita na wengine wengi ambao huyu kiumbe aliweka alama.Tumia akili wewe sio mnyama wa kufugwa
[emoji1][emoji1]
 
Baada ya kufatilia uchezaji wa hawa miamba, Chama the brain football na Feitoto aka KDB nmegundua jambo hili. Kwa mpira wa kisasa Feitoto ni Bora kuliko Chama

Takwimu zao
Chama....goal 2 but asists 7

Feitoto goal 5 but asists 2

Maoni: Weka ushabiki kando.....takwimu ziongee.

View attachment 2436617
Chama ana umri mkubwa kuliko fei
 
Baada ya kufatilia uchezaji wa hawa miamba, Chama the brain football na Feitoto aka KDB nmegundua jambo hili. Kwa mpira wa kisasa Feitoto ni Bora kuliko Chama

Takwimu zao
Chama....goal 2 but asists 7

Feitoto goal 5 but asists 2

Maoni: Weka ushabiki kando.....takwimu ziongee.

View attachment 2436617
Kwanza fanya kujumlisha hizo goals and assist.
Pili Fei kacheza mechi 3 zaidi ya Chama.
Tatu, Chama ndiye MVP wa 2022/2023 bila kupepesa macho.
 
Serikali iendelee kuzuia mihadarati yanga vs prison mechi ngumu kuliko simba vs Nkana,simba vs Soura , Simba vs Ahly , Simba vs El mereck,Simba vs vita na wengine wengi ambao huyu kiumbe aliweka alama.Tumia akili wewe sio mnyama wa kufugwa
Mbona hujaweka Yanga vs ngada fc pale ccm kirumba nusu fainali ya fa last season au ile si miongoni ya match zenu ngumu?unatuletea takwimu za match za kipindi cha corona while wenzetu walikua wanacheza wakitokea nyumbani sie ligi ikiendelea!
 
Tukuulize na wewe, tukiachana na magoli, kitu gani kingine Fei anamzidi Chama?
 
Tunasubiria ratiba za group stages
Unasubiriaje ratiba za group stage wakati mechi zimechezwa tayari au akuna izo game Al hilaly Vs yanga apo akuna takwimu? Africain club apo Napo wale jamaa wa sudan vipi?
akuna takwimu za fei apo

Nyasa big bullet tayr mwamba kule Malawi alishatoa assist 2 kwa phiri na captain bocco
Pale Angola zidi ya de Augusto
Mwamba chama alifunga na assist kwa phiri hizi hapa vipi mpaka Tusubiri group stage au hizi sio takwimu??? Majbu mleta uzi please
 
Back
Top Bottom