Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
RC hawezi kukubali kuambiwa ukweli anajua atatenguliwa, wale watu TLS iweke mawakili wawatetee mahakamaniWeka ushahidi vinginevyo ni uzushi Wenzako huko Simiyu wametiwa ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RC hawezi kukubali kuambiwa ukweli anajua atatenguliwa, wale watu TLS iweke mawakili wawatetee mahakamaniWeka ushahidi vinginevyo ni uzushi Wenzako huko Simiyu wametiwa ndani
Tuna polisi ya hovyo sn1. Ukiona mkuu wa mkoa anasema msiwape polisi lawama na mtafute njia mbadala za kujilinda
2. Ukisikia malalamiko ya upinzani juu ya vyombo vya usalama na hakuna uwajibikaji
3. Ukisikia polisi wanashiriki kufanya ukatili wa kijinsia na hakuna maamuzi ya kisheria
4. Ukisikia polisi wanatumika kisiasa
elewa kwamba haya yanatokea kwa sababu na wakati sahihi
ni ukweli kuna maeneo kuna uhalifu sanaWapi huko? Nije kutembelea
Rip HamzaNgoja nikukumbushe visa 2
unamkumbuka yule jamaa aliitwa Hamza alichofanya kwa polisi walipo mdhulumu madini$ yake alichokifanya?
unakumbuka wale askari wa mtwara waliomfanyia tukio muuza madini alafu wakawekwa selo asbh wakakuta mwenzao mmoja amekufa kizembe bila hatia?
dhuruma, utekaji, uuaji sio jambo jema ni hatari sana
sio kwa waTz. Hawa walevi watatumia ovyo hizo bunduki.Kutokana na hali ya kudorora kwa usalama wa Wananchi hapa nchini, kuna ulazima wa kutembea au kumiliki silaha muda wote kwa ajili ya ulinzi binafsi au kwa ajili ya kujihami dhidi ya hatari ya vitendo vya utekaji.
Aidha, kuna ULAZIMA wa kubadilisha Sheria zetu na Katiba iliyopo ili suala la Kumiliki Silaha za Moto Kama vile Bunduki au Bastola iwe ni haki ya kila raia wa nchi ambaye mwenye umri wa utu uzima na mwenye akili timamu sawa sawa.
Hii itasaidia Sana kupunguza au kukomesha kabisa matukio ya watu kutekwa kiholela.
Safi kwa kuleta hoja yenye manufaa..... Pia Ifahamike kuwa utekaji nalo ni mojawapo ya doa kwa usalama wa wananchi. Hivyo basi rai kwa vyombo vya ulinzi na usalama kushughulika na vimemelea vyote vinavyoleta uvunjifu wa usalama. Kinyume chake matokeo hasi yatajitokeza.Matukio ya uhalifu ni mengi sana ,mengine yanaripotiwa na vyombo vya habari , mengine tunakutana nayo kwenye mitandao ya kijamii lakini kuna mengine hayaonekani popote .
Tunakoelekea watu wataogopa kufanya biashara na shughuli zao
Watu wanaofanya shughuli zao usiku wataogopa kuendelea nazo
Serikali na vyombo vya usalama vifanye jambo .
Mitano tena. Jeshi lipo imara, wewe upo nchi gani?Matukio ya uhalifu ni mengi sana ,mengine yanaripotiwa na vyombo vya habari , mengine tunakutana nayo kwenye mitandao ya kijamii lakini kuna mengine hayaonekani popote .
Tunakoelekea watu wataogopa kufanya biashara na shughuli zao
Watu wanaofanya shughuli zao usiku wataogopa kuendelea nazo
Serikali na vyombo vya usalama vifanye jambo .
Je, Kwani hao ambao Sasa hivi wameruhusiwa kuzimiliki hizo silaha yaani Jeshi la Polisi na Tiss wanazitumia vizuri hizo silaha walizokabidhiwa????sio kwa waTz. Hawa walevi watatumia ovyo hizo bunduki.
TanzaniaMitano tena. Jeshi lipo imara, wewe upo nchi gani?