Tukiachana na Masuala ya kutekana , hali ya kiusalama mitaani sio nzuri, Serikali iingilie kati .

Tuna polisi ya hovyo sn
 
Rip Hamza
 
sio kwa waTz. Hawa walevi watatumia ovyo hizo bunduki.
 
Wanasiasa bwana.

Watu wanavunja mpaka sanamu la Nyerere??
 
Safi kwa kuleta hoja yenye manufaa..... Pia Ifahamike kuwa utekaji nalo ni mojawapo ya doa kwa usalama wa wananchi. Hivyo basi rai kwa vyombo vya ulinzi na usalama kushughulika na vimemelea vyote vinavyoleta uvunjifu wa usalama. Kinyume chake matokeo hasi yatajitokeza.
 
Polisi ndo watekaji, huo usalama utakujaje?
 
Mitano tena. Jeshi lipo imara, wewe upo nchi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…