Tukiachana na wachaga, Kuna kabila lingine lina utamaduni wa kurudi na kujumuika kwenye vijiji vya mizizi yao nje ya misiba?

Wameru,Waarusha,na Wagweno huwezi kuwatofautisha na wachaga hata lugha zao zinaingiliana.
Nimekaa Arusha hao watu wana asili zao tofauti labda tu ni kwamba Wachaga walijisogeza Arusha kuziwahi fursa za mji huo kwenye mambo ya Hoteli, utalii, Biashara.

Wameru na waarusha naweza kusema wapo karibu zaidi na wamasai, niliwaona wana utamaduni hata wa kutembea na visu.
 
Kama sio ujuha n nn, Kahe sio kwa wachaga hata kidogo, wapo Wakahe wenyewe, Wakamba na Wataita kutokea chocho la kitobo na wahamiaji wengine kuchunga na kulima mpunga
Huo ni utamaduni wenu uliozoeleka wa kukana ndugu zenu kwa kuwaita wakahe, wakamba, n.k. Kwani Kahe ipo iringa au moshi kwa wachaga? Kingine hatuna kabila la wakahe bali tunao wachaga.
 
Pumbaaa na povu kama lote na chuki binafsi zimekujaa juu ya wachaga, hayo matambiko ya kichawi uliyaona? Au ndoto zako za mchana, tafuta hela acha porojo.
Yako wazi wewe kiazi. Mkiacha kubadili ndugu zenu kuwa mandondocha ndiyo utarudi hapa utoe ushuhuda.
 
Ni kweli kabisa, ukikuta Mchaga mshirikina basi ujue ameununua na Mganga wake ni aidha Msambaa au Mha au wa kabia lingine la kiswahili swahili
 
Unaweza kuthibitisha hili? Una ushahidi uuweke hapa?
 
Kule ndio watu wasiojua uchawi wanapatikana Tanzania hii. Huko watu wasipoweza kufanya maendeleo vijijini ndiko uchawi imejaa.
Huna ulijualo. Nenda huko kwa wanyambo ambako baadhi ya wachaga walibahatika kuuziwa mashamba ya kulima kahawa. Mandondocha yamejaa
Unaweza kuthibitisha hili? Una ushahidi uuweke hapa?
Nimeshakuthibitishia hilo. Wewe sasa ndiye uje na ushahidi wa kupinga nilichokiandika
 
Huna ulijualo. Nenda huko kwa wanyambo ambako baadhi ya wachaga walibahatika kuuziwa mashamba ya kulima kahawa. Mandondocha yamejaa

Nimeshakuthibitishia hilo. Wewe sasa ndiye uje na ushahidi wa kupinga nilichokiandika
Kama una ufahamu na uelewa, mimi sijapinga wala kukubali hilo, ila nimekuomba uweke ushahidi wenye logic, kwa mfano unaweza kusema...

Mzee flani (kwa jina) wa kichaga amefanya uchawi wa aina flani (utaje) ili tusiamini kuwa nawewe umesikia tu story isiyo na ukweli
 
Hakuna unachokijua!

Wewe ni miongoni mwa wale watu ambao ukiona JIRANI ana maendeleo basi tayari ni Freemason au Msukule!

Huo ni Ujinga mkubwa sana!

Kilimanjaro hawana upuuzi huo!

Ati Walemavu wengi...like Seriously?

Watu wanafanya kazi acha kabisa!

Kumbuka kwanza kipindi Biashara za Dubai na China zilipoanza ni Wachaga na Wapare walijaa kule kuchukua Fursa!

Ina maana waliwaloga wenzao wasione izo fursa?

Christmas watu wanakutana kusherekea SIKUKUU kwa Sababu ya Mapokeo ya Dini lakini pia kujitathmini kwenye level za Maendeleo ya kila mwanafalia!

Christmas hakuna mtu anafanyaga hata Mila kwa Sababu wageni wanatembeleana sana!

Kazi ni Moja tu-Kula na Kufurahi basi!

Huo ndio Utamaduni wa wachaga!

Makabila mengine yanakwama kwa Sababu ya Husda!

Mtu akijenga tu nyumba ya Bati huko kijijini kwao ajiandae kupigwa kitu...!

Kilimanjaro ukijenga Nyumba nzuri mwaka huu ujiandae mwaka unaofuata watajenga Nyumba KALI ZAIDI!

SASA hapo utajua mshirikina ni nani...!
 
Ni kweli kabisa, ukikuta Mchaga mshirikina basi ujue ameununua na Mganga wake ni aidha Msambaa au Mha au wa kabia lingine la kiswahili swahili
Was

Ebu twambie mnavyoalika watu kwenye makazi yenu yale maji wanayonawa kabla na baada ya kula huwa mnayafanyia nini sababu huwa hayamwagwi bali mnaweka kwenye vidumu mnapeleka ndani ya nyumba. Twambie yanakuwa na kazi gani huko ndani.
 
Was



Ebu twambie mnavyoalika watu kwenye makazi yenu yale maji wanayonawa kabla na baada ya kula huwa mnayafanyia nini sababu huwa hayamwagwi bali mnaweka kwenye vidumu mnapeleka ndani ya nyumba. Twambie yanakuwa na kazi gani huko ndani.
Kwa namna yako tu ya kuwaza tyr wewe ni Mshirikina!

Who cares?

Yaani maji ya kunawa yanaweza kumsaidia mtu kupata pesa???

Idiot!

Jifunza utamaduni wa Kufanya kazi-Ushirikina haujawahi kumsaidia Mtu kuwa tajiri!
Actually huo ndo umechelewesha makabila mengi sana!

Wewe inaonekana umekaa kidogo huko Uchagani-Nyumba za asili za Uchagani zilikuwa za Nyasi-Msonge-Ulishaziona tena?

Siku hizi watu wanajenga Vyoo vya kisasa vya Nje baada ya Nyumba nyingi kuwa na Vyoo vya Ndani-Unafikiri hayo yanafanyika kwa Sababu za KISHIRIKINA?

Badili namna ya Kufikiri na ikiwa kuna cha kujifunza basi ufanye hivo ili ubadilike!
 
Was



Ebu twambie mnavyoalika watu kwenye makazi yenu yale maji wanayonawa kabla na baada ya kula huwa mnayafanyia nini sababu huwa hayamwagwi bali mnaweka kwenye vidumu mnapeleka ndani ya nyumba. Twambie yanakuwa na kazi gani huko ndani.
Kila kitu kwako ni uchawi huenda wewe ni mwanga kabisa aisee, yani wewe ni mchawi unaefanya baadhi ya wahaya waogope kurudi vijijini
 

Kafara ya kuchinja sio uchawi ata waislam wana idd ya kuchinja ata kwenye bible walichinja
 
Huna ulijualo. Nenda huko kwa wanyambo ambako baadhi ya wachaga walibahatika kuuziwa mashamba ya kulima kahawa. Mandondocha yamejaa

Nimeshakuthibitishia hilo. Wewe sasa ndiye uje na ushahidi wa kupinga nilichokiandika
Hao ni Wanyambo wanajulikana kwa uchawi na mengine.
 
Mbona huku 🇰🇪 ni kitu cha kawaida. Msimu wa Krismasi foleni huwa kubwa sana za watu kurudi vijijini (sisi tunaita mashambani). Sio kabila moja huku kwetu.
 
Hao ni Wanyambo wanajulikana kwa uchawi na mengine.
Acha kusingizia wengine sababu watakucheka l. Wachaga wenzio walienda kwa watu na tabia zenu mbovu undondocha mwishowe wakaumbuka kama alivyoumbuka yule ndugu yenu wa dar pale mbezi kama siyo kimara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…