Tukibaki Hai, Tutasimulia

Habari zenu wapendwa? Samahani kwa kuwa kimya kwa kitambo kidogo, sasa narejea na kama nilivyoapa, story hii nitaimalizia hapahapa.

Kuanzia kesho nitarejea kwenye ratiba yangu ya awali.
Karibu tena Steve
 
Tawan hatoamini macho yake
 
Duh! Huku watu wanatafutana, kumbe kuna watu wanajua nini kinaendelea![emoji3166][emoji2962][emoji15]
 
Hahaha uwe tajiri ama uwe maiti[emoji1782][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duh!
 
Ohooo! Duh!
 
Duuh!
 
Looh! Hiki kizaazaa kakileta richie yeye mwenyewe
 
Lah hallaullah! Rich ilitakiwa atangulie sio hilda pumbavu kabisa
 
Asante tivu mbona nahisi kama hilda ameuliwa na mke wa Bryson ngoja tuone
Hilda kaondolewa na alie taka kumuondoa richie ila alinusurika! Ila kama ni mke wa bryson basi itakua ni Brrrrrraking newz
 
Duh! Jamaa bado kakomaza fuvu[emoji849][emoji3517]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…